BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Kuliko kuoa mkono wangu(nyeto) bora nioe mwanamke anaetokea mazingira yoyote mazafaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujidharau ni dhambi mbaya sana.
Binti yake akiolewa halindwi mkuu, ulinzi ni kwa nyumba yake tuFamilia ya Rais aliemadarakani inakosaje ulinzi?
Acha kujishusha utu wako.Mwanamke anakupa stress ukienda kwao mlango wa jikoni ukiupiga teke unadondoka.
Choo mlangoni wameweka gunia au khanga
Kanyumba kenyewe ka slope sebuleni ndio stoo ya kutunza udaga.
Ukimleta mjini akaanza kutakata anaanza maringo bila kujali umemsitiri.
Huyu mwamba wa Arusha aliyeoa mtoto wa Rais hata mbinguni kuna kiwanja chake,katupa somo wanaume,bora ufe bachelor kuliko kuoa familia ya ovyo,poverty cycle haitaisha kwenye ukoo wenu.
Mliooa familia duni poleni ,mliozaliwa familia duni pia poleni,mlaumu mama yako kuolewa na fukara.
Break the chain.
usioe wala kuolewa na lofa
Hakuna upungufu wa nguvu za kiume ni kukosa hela.
Hakuna mwanamke mwenye kiuno kigumu au kukosa utelezi ni madeni ya viccoba yanawakata stimu
Sawa then?Money,power,respect.
Royal family got it all
Nakataa mkuu.. labda mzazi.Nyumba yake lazima ilindwe na askari mwenye silaa,usimchukulie poa mtoto wa Rais,
Umeidogosha sana taasisi ya ndoa kwa kuifanya iwe ya kibiashara zaidi.Mwanamke anakupa stress ukienda kwao mlango wa jikoni ukiupiga teke unadondoka.
Choo mlangoni wameweka gunia au khanga
Kanyumba kenyewe ka slope sebuleni ndio stoo ya kutunza udaga.
Ukimleta mjini akaanza kutakata anaanza maringo bila kujali umemsitiri.
Huyu mwamba wa Arusha aliyeoa mtoto wa Rais hata mbinguni kuna kiwanja chake,katupa somo wanaume,bora ufe bachelor kuliko kuoa familia ya ovyo,poverty cycle haitaisha kwenye ukoo wenu.
Mliooa familia duni poleni ,mliozaliwa familia duni pia poleni,mlaumu mama yako kuolewa na fukara.
Break the chain.
usioe wala kuolewa na lofa
Hakuna upungufu wa nguvu za kiume ni kukosa hela.
Hakuna mwanamke mwenye kiuno kigumu au kukosa utelezi ni madeni ya viccoba yanawakata stimu
Duh mkuu wewe kweli kalagabaho.. hivi huyu akitekwa na wazee wa kudai fidia unajua madhara yake kwa taifa la Zanzibar?Nakataa mkuu.. labda mzazi.
Yani wew na uoe kwake ulindwe, kama nani?
Duh mkuu wewe kweli kalagabaho.. hivi huyu akitekwa na wazee wa kudai fidia unajua madhara yake kwa taifa la Zanzibar?Nakataa mkuu.. labda mzazi.
Yani wew na uoe kwake ulindwe, kama nani?
😂😂Daaah 😔
Uko wapi.....