Aliyemuoa mtoto wa Rais Hussein Mwinyi ndio kaoa,sie wengine tulioa ili mradi tusije kufa bila kuacha watoto

Aliyemuoa mtoto wa Rais Hussein Mwinyi ndio kaoa,sie wengine tulioa ili mradi tusije kufa bila kuacha watoto

Duh mkuu wewe kweli kalagabaho.. hivi huyu akitekwa na wazee wa kudai fidia unajua madhara yake kwa taifa la Zanzibar?
Msamehe bure,hajui intelligence inavyo fanya kazi, na kijana unaweza kuta ni wa kitengo cha ulinzi wa Rais Ikulu ya Zanzibar!!!
 
Tafutahela kihalali utapata,ufukara sio sifa
Hakuna mahali nimesema ufukara ni sifa. Ufukara siyo sifa. Lakini haina maana ya kuwahusudu wenye pesa na kuwaona wao kama miungu kisa wana pesa.

Mwenye pesa na fukara wote ni binadamu tu.
 
Ameoa shida sio raha hujui tu umewahi kuchumbia matajiri wewe mie nimewahi kuwa mtu wa tajiri . Wanakaraha zao sana tu , unyumba zero , wanapenda kukunyanyapa utaona tu wana sign zao , wanakera unaweza kukuta friji imejaa ila njaa huna , ni vituko sana , wanakufanyia kama familia ikishakuwa ijioni usikae nao wewe kula ondoka, nenda chumbani.

Saa ya sherehe lazima muende wote unaburuzwa tu maana huna raha na mume wako, unaingia magari ya kisasa , unakula sehemu zakisasa ila huna raha yamoyo. Ukiwa na wakaida tu ni raha unaenjoy unafurahia kile kidogo alichonacho nao shida ipo hauopo pekee yako . Ndio kero kwa wanaume maskini
Acha kulinganisha umasikini na utajiri? Kila Mwanamke ndoto yake ni kuolewa ushuani
 
Punguza maneno ya kujifariji
Kipo walichptuzidi = HELA
Hela itamfanya akale bata Bahamas, New York, Dubai kotee anakotaka kwenye A star Level Hotels

Kwani we hupendi kila mwezi kwenda kula bata ulaya?
Kwamba wewe na Mtoto wa Gulam (Mohamed Dewji) kwa kuwa wote ni vijana wa kiume basi Mnafanana?

#YNWA
Kwa hiyo wewe unajishusha na kujidhalilisha sababu hauna pesa?

Binafsi sioni walichonizidi mpaka nifike hatua ya kuwahusudu. Hata akiwa mtoto wa Elon Musk I will never bow to a human being under any circumstances.

Kama wewe unamwona mtoto wa Gulam ni bora kukuzidi wewe hiyo ni akili yako, sio mimi.
 
Mwanamke anakupa stress ukienda kwao mlango wa jikoni ukiupiga teke unadondoka.

Choo mlangoni wameweka gunia au khanga

Kanyumba kenyewe ka slope sebuleni ndio stoo ya kutunza udaga.

Ukimleta mjini akaanza kutakata anaanza maringo bila kujali umemsitiri.

Huyu mwamba wa Arusha aliyeoa mtoto wa Rais hata mbinguni kuna kiwanja chake,katupa somo wanaume,bora ufe bachelor kuliko kuoa familia ya ovyo,poverty cycle haitaisha kwenye ukoo wenu.

Mliooa familia duni poleni ,mliozaliwa familia duni pia poleni,mlaumu mama yako kuolewa na fukara.

Break the chain.
usioe wala kuolewa na lofa

Hakuna upungufu wa nguvu za kiume ni kukosa hela.
Hakuna mwanamke mwenye kiuno kigumu au kukosa utelezi ni madeni ya viccoba yanawakata stimu
View attachment 3054607
Punguza maneno...kama huna watoto basi siku moja utakuwa nao.
Na watakutukana kwann uliwazaa akati huna kitu ni fukara huna cha kuwarithisha kwaiyo bora kukaa kimya kuliko kuropoka kama Jinga flani ivi ambalo halina maadili.
 
Money is everything
Money speaks all languages

""If you think money cant buy happiness, go and ask the homeless and the jobless""

#YNWA
Endelea kuwa na utumwa wa kuamini,unaweza kufanikiwa kupitia mwenza mwenye hela.

Kwa mwanamke kupenda hela hasizo zivujia jasho sawa, ila kwa mwanaume kuna walakini na unaweza ukafanywa vibaya.
 
Back
Top Bottom