TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Mjini, Dkt. Amani Walid Kabourou, afariki dunia

R.I.P Daktari!

Huyu alisaidia sana kuifanya Kigoma kuwa ndio ngome kuu ya upinzani kupitia CHADEMA!
Siku anatia Mguu kigoma kwa mara kwanza palikuwa hapatoshi.

Alisaidia sana kuujenga upinzani kigoma ,

Baadae sijui alipatwa na nini Dr Amani.

R.I.P...Dr..
 
Hiyo ndiyo hali halisi , ukishahamia CCM wanakutumia kwa muda tu kwa maslahi yao, alafu badae wanakutupa kule.

Subiri uone 2020 hawa wote waliohamia CCM kama utawasikia tena.
 
Siku anatia Mguu kigoma kwa mara kwanza palikuwa hapatoshi.

Alisaidia sana kuujenga upinzani kigoma ,

Baadae sijui alipatwa na nini Dr Amani.

R.I.P...Dr..
Alikuwa na mgogoro na mbowe,nakumbuka hata kampeni za 2005 mbowe alikuja kigoma lakini alifanya kampeni pekeake bila uwepo wa kabourou licha yakwamba alikuwa mbunge kigoma.
 
Mazishi yapo kigamboni sehemu gani mkuu?Sipend kuto kumzika huyu Jiran yangu pale ujiji
 
Huyu ajamaa alivyo ufanyia upinzani, halafu akaja Nsanzungwako then Zitto hapo nikajikuta sina kabisa IMANI na mpinzani yeyote toka Kigoma; alivyo pokea David mzee wa EPA na yule mwingine alikuaga mbunge wa Kasuru basi nikapigia mstari kwamba WAHA sio though nimeolea huko but one of my shemeji anae penda siasa nilimwambia kuhusu hili na akasema hivi, "Shemeji uko sahihi"
 
Jamaa zangu wa pande ile huwa hawaaminiki. Vigeugeu kwelikweli.

Akapokelewe anapostahili
 
Siku anatia Mguu kigoma kwa mara kwanza palikuwa hapatoshi.

Alisaidia sana kuujenga upinzani kigoma ,

Baadae sijui alipatwa na nini Dr Amani.

R.I.P...Dr..
Sijui naye angesikilizwa labda angelisema kama ya Hizza Tambwe ili aondoke kwa amani!
Alale pema peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…