Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wapinzani wameamua kwenda kuiua CCM kule kule ndani.CCM asilia kazi tunayo madaraka ni ya wageni safari hii.
Hahahakipindi kile mlipokuwa mnaambiwa mlikuwa mnatujibu kwa maneno matatu elimu, elimu , elimu...[emoji23][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishasema,2020 chadema akipata 5 MPs ajatambike,chama cha ajabu sana hiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nasema Mh Mbowe anastahili pongezi nzito, maana alikuwa amezungukwa na mamruki na waganga njaa ndani ya chama!, lakini amekipambania chama hadi leo kipo pamoja na msukosuko kinachopitia!.Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga unaoandika ungekuwa karibu na jiwe angekuchapa makofiWataelewa tu
Kule hakuna Chama kuna Wachumia tumbo tu
Eti chama cha Demokrasia
Demokrasia ya Maandishi uhalisia Zeri
Namsikiliza hapa anajitetea .baada ya kutolewa nafasi ya Ukatibu Mkuu kaona tonge limedondoka kaamua kuhamia CCM.
ulitakiwa uniulize kwanini Mashinji alivuliwa ukatibu Mkuu ?Nilikuwa nakutafuta naomba Maoni yako
Naona CHADEMA unaelekea kubaki peke yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Naendelea kuwaonya vijana wa kitanzania, msikubali kuvunjwa miguu au kuumizwa kwa namna yoyote ile mkiwapambania wanasiasa wa taifa lenu. Kama umeamua kupambana, pambania kile unachoamini na sio mwanasiasa. Wanasiasa wa Tanzania ni wachumia tumbo,hawajui itikadi na hawana itikadi. Wanatafuta ugali, ndio maana wataungana na kuwa wamoja pale ugali wao utakapojaribiwa. Haya,bado wengine wengi wataendelea kuwavunja moyo kwakuwa mliwapambania. |
"IMARA"
Pole sana
kesi inarindima kama kawaida ila tofauti na siku zote yeye atakuwa hawakilishwi na Kibatala bali CCM itampa wakili wa CCM Albert Msando.Sasa kesi yake pale kisutu itakuaje, maana ukishakua CCM basi kesi za uchochezi hazikuhusu hata kama ulifanya ukiwa CHADEMA
CC:Mwita Waitara