Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgombea yoyote mwenye chance ya kuiondoa CCM madarakani mimi nam support hata kama atakuwa Magu!Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aende fasta. Acha bahari iteme uchafu.
Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu usaliti wa Mbowe utakitafuna CHADEMA miaka mingi ijayo.!Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda unaweweseka mpaka unasema "...ahamia chademà"?
Yeye atagombea nafasi gani huko ccm? Maana mwenzie Mwambe kasema anataka ubungemmekwisha
Sasa anaenda kuwa nani CCMNamsikiliza hapa anajitetea .baada ya kutolewa nafasi ya Ukatibu Mkuu kaona tonge limedondoka kaamua kuhamia CCM.
Madaktari njaa sana aiseeeh! Hawaoni aibuu!?
Actually huyu alishaunga juhudi toka akiwa Katibu Mkuu CHADEMA, anachofanya ni kuhitimisha tu!
Kama kuna mtu anajua Mashinji akiwa katibu mkuu alifanya kipi kuimarisha CHADEMA aniambie! Karibu kundini
Nilishasema,2020 chadema akipata 5 MPs ajatambike,chama cha ajabu sana hiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukumbushane kuwa ana kesi ya uchochezi pale Kisutu.
Mpaka rahaHii usaliti wa Mbowe utakitafuna CHADEMA miaka mingi ujayo.!