Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Taifa wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji ajiunga na CCM

Wanaume Tanzania walio wengi hawana ujasiri, uwoga uliopitiliza, kutokuwa na msimamo, kudeka etc. Tanzania wapinzani wa kweli atabaki Zitto na wenzie akina Mbowe basi. Walobaki wanaume suruali.
 
Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.


Atuombe radhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mgombea yoyote mwenye chance ya kuiondoa CCM madarakani mimi nam support hata kama atakuwa Magu!
 
Screen-Shot-2020-02-18-at-4.09.08-AM-660x400.png


Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Vincent Mashinji amejiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Jumanne Februari 18, 2020. Dk Mashinji amepokewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole.

mambo yanaenda kasi sana.....

 
Madaktari njaa sana aiseeeh! Hawaoni aibuu!?

Actually huyu alishaunga juhudi toka akiwa Katibu Mkuu CHADEMA, anachofanya ni kuhitimisha tu!

Kama kuna mtu anajua Mashinji akiwa katibu mkuu alifanya kipi kuimarisha CHADEMA aniambie! Karibu kundini

Hawa ndio walikuwa vikwazo kwa ustawi wa CHADEMA

Walilipoti siri zote CCM

Ndio maana mwenyekiti wa ccm alijiapiza cdm itakufa kabla 2020

Cha ajabu CHADEMA ipo imara zaidi na inasonga mbele

Chadema imepita mtihani mgumu sana

WAITARA
LOWASA
SUMAYE
MWAMBE
MASHINJI

wote hawa walikuwa kamati kuu ya maamuzi. Kimsingi CCM ilihabarishwa siri zote. Lakini bado cdm inadunda haijafa wala kuteteleka.

Amakweli, Acheni Mbowe aitwe Jabali la siasa Tanzania.

ANASTAHILI.
 
adolay,

WAITARA
LOWASA
SUMAYE
MWAMBE
MASHINJI

wote hawa walikuwa kamati kuu ya maamuzi. Kimsingi ccm ilihabarishwa siri zote. Lakini bado cdm inadunda haijafa wala kuteteleka.

Amakweli, Acheni Mbowe aitwe Jabali la siasa Tanzania......ANASTAHILI.
[/QUOTE]
"IMARA"
Pole sana
 
kipindi kile mlipokuwa mnaambiwa mlikuwa mnatujibu kwa maneno matatu elimu, elimu , elimu...[emoji23][emoji28]
Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.


Atuombe radhi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom