mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,267
- 4,634
Kwa elimu aliyonayo na hayo aliyoyafanya imekuwa vema kama angekaa kimya.Kwa kuandika hivyo kunatoa picha mbaya hata kwa mwanaccm makini kwamba huyu hajaja kusapoti maendeleo yetu bali amekuja tu kwa ajili ya tumbo letu.Ningependa watu kama hawa 2020-2025 kwenye siasa zetu wawe mbali kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app