Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Utabeba sana
In God we Trust
[emoji403] USA baby [emoji631]
In God we Trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji403] USA baby [emoji631]
Utabeba sana
In God we Trust
Kwakweli vyama vya upinzani Tanzania vimepigwa na corona. Yani vinashambuliwa kama vikundi vya uasi..Siasa za CCM za kishamba sana...Nani kawadanganya vyama vya upinzani havina Mchango kwenye maendeleo ya taifa hili? Mnataka mang'ombe tu, mkiyajapa nikulia tu mbooooooo! Haya bwana...
Haikua lazima waseme ila walishasema kwa vitendo! Hakukua na haja ya kwenda public! Kama hawakutumia hio preemptive strike haimaniishi ni porojoHizi Ni porojo..kwanini hawakutoa kauli yoyote Hadi ahame? Hawajui maana ya pre-emptive strike?
Tukiwaambia Mbowe ndio tatzo hapo chadema mnashupaza shingoLile jamaa nilikuwa nalionaga kama tahira hivi...
Yani lipo lipo tuu.... Sijui Chadema walilitoaga wapi
Mzee baba kuondoka chadema sio lazima uende ccmNa mimi hapa,maana nilishakula kiapo siwezi kuwa CCM kwa hiari labda nishikiwe bunduki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenge kama wewe ndio wanafanya wenye akili kuondoka chademaWanajiuza kama wewe
In God we Trust
Utawaona oktoba!
Ninaongea kwa kugonga meza....' kwanza kitendo cha kumfitini katibu wetu mkuu Dr Slaa!'.. mwishowe atajikuta katibu mkuu wake ni mkewe.Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku utakuja kuumia sana kutokana na hii coment yakoWanaume Tanzania walio wengi hawana ujasiri, uwoga uliopitiliza, kutokuwa na msimamo, kudeka etc. Tanzania wapinzani wa kweli atabaki Zitto na wenzie akina Mbowe basi. Walobaki wanaume suruali.
Mzee baba kuondoka chadema sio lazima uende ccm