#Kabambikia watu kesi za madawa ya kulevya,, kuteka watu,,kuua na kunyang'anya Mali za watu,,, hebu tupe kwanza ushahidi mdog wa hayo uliyoyasema
Je una uhakika gani kuwa aliwabambikia kesi ya madawa,,,Aliwataja akina manji, gwajima, petit man hadharani akiwahusisha na madawa ya kulevya, kuna cctv nyingine nitazitoa siku ikihitajika ukiacha hizo za clouds inshort haihitaji rocket science kujua jamaa alikua fedhuri mpe salamu dawa inachemka iko jikoni
Je una uhakika gani kuwa aliwabambikia kesi ya madawa,,,
Kati ya watu aliowataja, ulisikia nani amefungwa?Je una uhakika gani kuwa aliwabambikia kesi ya madawa,,,
Kati ya watu aliowataja, ulisikia nani amefungwa?
Kwani mtu ukiwa na kesi lazma ufungwe ata kaa hatia unayo na kesi haijafatiliwKati ya watu aliowataja, ulisikia nani amefungwa?
Unadhani kwa nn kesi haikufuatiliwa,? Mwisho wa kesi yoyote ni lazima Mahakama itoe hukumu. Je ni hukumu ipi ilitolewa iliyowatia hatiani hao aliowataja.Kwani mtu ukiwa na kesi lazma ufungwe ata kaa hatia unayo na kesi haijafatiliw
Hahahaaaa...... Viongozi vijana ni shiiiida!View attachment 1976054
Wanaharakati wa haki za binadamu na wadau wa haki duniani wanapaza sauti zao makonda afikishwe kotini kujibu mashtaka yanayomkabili
Labd upelelez hakukamilika ila swali langu kubwa ni wew una uhakika gani hao waliotajwa walibambikiw au hawakubambikiwa iyo kesiUnadhani kwa nn kesi haikufuatiliwa,? Mwisho wa kesi yoyote ni lazima Mahakama itoe hukumu. Je ni hukumu ipi ilitolewa iliyowatia hatiani hao aliowataja.
Makonda na yeye ale mvua sate pimbi huyo. Walijifanya Tanzania ni yao.Makonda ndiye mhalifu pekee aliyetajwa na Serikali ya US kuwa alikuwa akiwanyima watu haki ya kuishi.
Nakubaliana na mleta mada, ukilinganisha uovu wa Makonda na Sabaya, Sabaya ataonekana ni malaika.
Haki itendeke. Sabaya ni jambazi la kutumia silaha, Makonda aliwanyima watu haki ya kuishi (aliondoa uhai wa watu)
Kipindi magu ajanyakuliwa sawa.kuna mtu mkubwa kabsa hapa nchin alinambiaga MAKONDA ni mzinga wa nyuki, ukimchokoza nchi haitakalika!