Ally Dangote auawa jijini Arusha
Kweli watu walikuwa na uchungu nae nimeona vid moja fb wamama wanasema ajafa huyo mchinjeni ajafaaaaa jamani. Huyu mbwa kamuua mama mmoja mwenye mimba akammaliza na mwanae duhu.

Arusha siji dec wacha niishie marangu kha
 
kweli watu walikuwa na uchungu nae nimeona vid moja fb wamama wanasema ajafa huyo mchinjeni ajafaaaaa jaaman ..huyu mbwa kamuua mama mmoja mwenye mimba akammaliza na mwanae duhu....arusha siji dec wacha niishie marangu kha
Kumbe kalikua kanyama eeeh. Sema wangekatundika qumamakee zake. Unauaje mama mjamzito bila hatia.
 
kweli watu walikuwa na uchungu nae nimeona vid moja fb wamama wanasema ajafa huyo mchinjeni ajafaaaaa jaaman ..huyu mbwa kamuua mama mmoja mwenye mimba akammaliza na mwanae duhu....arusha siji dec wacha niishie marangu kha
Acha uoga wa kike huo
 
Huyu dogo katuchafulia sana jina la ukoo wa Dangote, sisi kama wanafamilia tunategemea kukaa kikao kizito Lagos au Brunei tujadili hii taharuki, kisha tutaleta mrejesho''Tunashukuru Kwa uvumilivu wenu.
Hapana mimi km mwanafamilia pia napinga hili swala la kupeleka kikao Brunei kwa jinsi hali ilivyongumu kipindi hiki nashauri hiki kikao kifanyika tu Madale kwa mdgo wetu
 
WATU HIZI ADHABU WANAZO WAPA
HAWA VIBAKA,WAKABAJI WANGEKUWA WANAWAPA HAWA MAFISADI NA WEZI WA MALI ZA UMMA INGEKUWA SAFI SANA

Ova
Shida ni Accessibility. Hao mafisadi wanalindwa na mtutu so kumfikia bila jamhuri kukutia nguvuni ni ngumu.
 
Hii chalii naijua kwa Babu yake ni hapo one paru sokoni one alinifanya niwe nawahi home,Kuna siku jumapili jioni nakutana nae sombetini ananiambia nimchomeshe fegi nilikua sina coins ilibidi nimpe kaki bila kudai change
 
Nipo serious mkuu, ukute alifananishwa au labda ni yeye, ndo maana nikasema, ni vema angetiwa nguvuni, halafu afikishwe mbele ya vyombo vya sheria, haki itendeke. Hiyo mob justice, ingekuwa vema ikaelekezwa kwa wezi wa mali za umma, ambao wanajulikana na karibia kila mtanzania, ila sheria hazichukui mkondo wake, jamii ingeheshimika kuliko kumuua mtu tena yawezekana hakupewa hata nafasi ya kusikilizwa lakini ndo hivyo.

Kuna habari za watu wengi tu kuuawa kwa kuitiwa mwizi huku si kweli na watu kuua bila kumhoji wala kumsikiliza, siyo fair kabisa. Anyway ndiyo umma wetu huu.
Wezi wa Mali za umma sidhani kama wanaua watu na visu🙇🙇
 
Hii chalii naijua kwa Babu yake ni hapo one paru sokoni one alinifanya niwe nawahi home,Kuna siku jumapili jioni nakutana nae sombetini ananiambia nimchomeshe fegi nilikua sina coins ilibidi nimpe kaki bila kudai change
Bro your a princess
 
Back
Top Bottom