Ally Dangote auawa jijini Arusha
nenda unapostahili Ally Dangote
 

Attachments

  • CAFE4354-E1F8-415C-8411-E49326BFE5F9.jpeg
    CAFE4354-E1F8-415C-8411-E49326BFE5F9.jpeg
    13.1 KB · Views: 1
Kuna kesi kadhaa Kama huyu dogo.
Wanafanya Kama ulivyo pendekeza. Siku au miezi kadhaa anaachiwa huru au anatoka.
Alirudi mitaani anakuwa watu kadhaa.
Bora wamalizane nao Kama hivyo kabla hawapoteza uhai wa watu wengine wema.
Mmoja afe wengi wasalimike sababu ya kufa kwake.


Kama zipo kesi kadhaa na zote zinafanana bado tu hatujaliona tatizo liko wapi?

Kwamba kesi nyingi Kama zake wanashikwa then baada ya muda wanaachiwa, hapa bado pia tunajifanya vipofu hatuoni kabisa adui aliyesimama kati yetu wananchi na vibaka ni nani?


Sijawahi kujua kwanini hatupendi kabisa kuwajibika na badala yake tunatatua changamoto zetu kwa kutumia matokeo na sio vyanzo/mizizi.
 
Hiyo jamii ndiyo chanzo cha kuibuka kwa ALLY DANGOTE.

Jamii ya watu wanaohusudu uonevu kwa watoto, ukatili, uchawi, wizi, umasikini, dhuluma, unyanyasaji wa kingono, lazima itazalisha tu SERIAL KILLERS.

Ukilikoroga lazima ulinywe. Ukilitengeneza JINI lazima likupasue msamba.


Maajabu sasa ya hii jamii yetu ni kwamba bado tumegoma kuwajibika kwenye uhalisia.

Tumekua wataalamu wa kuyachonga mavinyago ya kutisha na mwisho wa siku yanaanza kututisha wenyewe wahunzi.
 
Siku yake ilishafika na alikuwa anakitafuta kifo kwa kila namna ...

Kwa mujibu wa kituo cha Sunrise redio huyo Ally Dangote alikuwa anafanya mauaji na kisha kupotea na baada ya muda anarudi eneo lile lile alilofanya tukio ...

Jana inasemekana alikamatwa na kina mama na bahati ikawa upande wake akafanikiwa akaponyoka na baada ya muda akarudi tena eneo lile lile alilokoswa kukamatwa ..

Cha kushangaza Maeneo yale kuna kituo cha Polisi cha Unga Ltd lakini walishindwa kumdhibiti kwa wakati, hadi kufikia mahakama ya mtaa kutoa hukumu.

Apumzike anapostahili.
Kwa ile maneno ya karuka kwenye defender ikiwa mwendo ni Chai siyo? [emoji12]
 
Kama zipo kesi kadhaa na zote zinafanana bado tu hatujaliona tatizo liko wapi?

Kwamba kesi nyingi Kama zake wanashikwa then baada ya muda wanaachiwa, hapa bado pia tunajifanya vipofu hatuoni kabisa adui aliyesimama kati yetu wananchi na vibaka ni nani?


Sijawahi kujua kwanini hatupendi kabisa kuwajibika na badala yake tunatatua changamoto zetu kwa kutumia matokeo na sio vyanzo/mizizi.
Nasisitiza angalia sehemu nimesema wengine hutoroka mikononi mwa vyombo vya sheria. Siyo wote Wana achiwa huru.
Kumbuka wengi wa hawa ni wahalifu sugu ambao hawaogopi kifo wanajaribu kukimbia mbele ya askari wenye bunduki.
Hawaogopi kifo sababu wameshauwa zaidi ya mara moja.
 
Nasisitiza angalia sehemu nimesema wengine hutoroka mikononi mwa vyombo vya sheria. Siyo wote Wana achiwa huru.
Kumbuka wengi wa hawa ni wahalifu sugu ambao hawaogopi kifo wanajaribu kukimbia mbele ya askari wenye bunduki.
Hawaogopi kifo sababu wameshauwa zaidi ya mara moja.


Tuangalie case ya huyu Allay Dangote.

Angalia size yake na size ya hao Askari aliojaribu kuwatoroka.

Tuangalie kwa u ndani hayo mazingira na namna ya ukamataji unaoshindwa kumdhibiti mtoto wa miaka 19 akiwa chini ya ulinzi mpaka apate mwanya wa kutoroka.

Na mwisho tuangalie kwanini watuhumiwa wote wanaojaribu kutoroka ni lazima wauawe kabisa badala ya kuvunjwa miguu (kwa risasi) ili kumaliza hizo mbio?



Tukubali tu ni jamii tuliyoshindwa. Mitaa inawatengeneza kina Ally Dangote then mamlaka zinazopaswa kudeal nao kwa kufuata utaratibu tuliojiwekea sisi wenyewe, zinafanya maamuzi ya kutumia njia ya mkato kumaliza tatizo jambo ambalo badala litoe matokeo chanya linaleta matokeo tofauti na hatimaye a circle of misery is created.
 
Nani kakuambia

Mbona Dar vibaka wezi wakabaji

Washasulubiwa sana

Ova
Muulize kama anaujua mtaa wa Congo wa mwanzoni mwa miaka ya 2000 mpaka katikati mwa miaka hiyo kuanzia juu kule mpaka stendi ya Mwananyamala kama mtu alikuwa anapita mtaa ule na wallet mfuko wa nyuma. Leo hii ni shwari kabisa
 
Back
Top Bottom