ElsaAnna
Senior Member
- May 5, 2023
- 135
- 357
Mkuu kuua watu wote hao na kujeruhi anaweza kua sawa kiakili kweli?Huyu Ally, mbona nikimtizama nikama ana Tatizo la Akili?.
Dunia Kwa Sasa imeshindwa kabisa kutoa muda wa kujali wenye uhitaji .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kuua watu wote hao na kujeruhi anaweza kua sawa kiakili kweli?Huyu Ally, mbona nikimtizama nikama ana Tatizo la Akili?.
Dunia Kwa Sasa imeshindwa kabisa kutoa muda wa kujali wenye uhitaji .
Mkuu kuua watu wote hao na kujeruhi anaweza kua sawa kiakili kweli?Huyu Ally, mbona nikimtizama nikama ana Tatizo la Akili?.
Dunia Kwa Sasa imeshindwa kabisa kutoa muda wa kujali wenye uhitaji .
SonkoKwa nini aliitwa Dangote?
Huyo mtu kwenye profile yako anakuharibu akiliHajabadilishwa Wala Nini. Tusipende kutetea ukatili. Naona polisi walijisahau ikabidi wananchi wawasaidie.
Daah umechanganyikiwa mazee unadhani kila mtu anaweza kupigwa hivyo visu...Huyu hakuwa sawa, kuna mahali ALIONEWA. Tena ALIONEWA SANA, ndio maana akageuka kuwa KATILI SANA.
Watu wanaweza kumbadilisha MALAIKA kuwa IBILISI.
Drink your own POISON, tena angewapiga mabisu ya kutosha, HAMJITAMBUI.
Jinga Sana wewe, kwahiyo mtu akizulumiwa ndio akikutana na mtu yeyote anaua tu, Kwanini asiende Kwa aliyemdhulumu. Haya muige na wewe watu wakufanyie umafia.Huyu hakuwa sawa, kuna mahali ALIONEWA. Tena ALIONEWA SANA, ndio maana akageuka kuwa KATILI SANA.
Watu wanaweza kumbadilisha MALAIKA kuwa IBILISI.
Drink your own POISON, tena angewapiga mabisu ya kutosha, HAMJITAMBUI.
You are not serious. Leo enyewe tu karokea polisi baada ya kukamatwa majuzi. Huoni hapo Na mwenzake wapo kwenye pingu? Baada ya kutoka, wananchi wakaona wamalize.kesi wenyewe.Pole kwa familia,ndugu na jamaa, may his soul R.I.P.
Mob justice ni mbaya, wangempeleka mbele ya vyombo vya sheria, haki itendeke, ukute alisingiziwa au kafananishwa.
Jinga kabisaHivi we jamaa upo serious kweli? Au mgeni nchi hii!
Eti may his soul bla bla bla.... kwa jambazi muuaji
Kaka hii nchi sio maskini me ntapinga Sana hili Jambo.Mafisadi hayooo yanatanua tu! Washenzi wamekunja bilioni 345 kiulainii. Halafu wewe upo unakimbizana na TRA na kiduka chako cha mtaji wa milioni 5 ili watoto wako wale na kusoma. Hawa ndiyo wanakuja kujenga mahekalu ya kutisha na kucheka vijana kuwa siyo wabunifu na kwamba elimu yao haijawasaidia.
Kwenye hukumu hizi kuna ubaya gani kusema kuwa pesa zote zilizoibwa zirudishwe na kila walichonacho kinataifishwa?
Halafu yule mama masikini wakampiga mvua 22 kisa kakutwa na vipande 12 vya nyama ya swala eti nyara za taifa 😬😬😬😬
View attachment 2820029
Alikuwa pure psychopath kama SabayaSeems like it was a mental case.
Nani kakuambiaAngekua yuko daslam na hivi kaua watu 9 watu wote wangekua wanajificha ndani akipita mtaani unakuta mwanaume mzima kaingia kwenye mtungi wa maji anaogopa ila kajichanganya kiumeni wamemswitch off
Dar kibaka anapigwa na kipande cha mkate tena anaepiga kajifungia ndani anarushia kwa dirishaniNani kakuambia
Mbona dar vibaka wezi wakabaji
Washasulubiwa sana
Ova
Ni psychopath kama Sabaya, yaelekea Arusha kuna ma pyscho wengi sanaHuyu Ally, mbona nikimtizama nikama ana Tatizo la Akili?.
Dunia Kwa Sasa imeshindwa kabisa kutoa muda wa kujali wenye uhitaji .
Kwani wanaishi wapi hao mafisadi, siyo mitaani?I am not talking about cheap "Mtaa" nazungumzia mafisadi majizi ya Tanzania yanayojificha kwa mwavuli wa Siasa
Mfano ni nani?I am not talking about cheap "Mtaa" nazungumzia mafisadi majizi ya Tanzania yanayojificha kwa mwavuli wa Siasa
Kwani wanaishi wapi hao mafisadi, siyo mitaani?
Hawapo mtaani kwako?
Tumenza na "ALLY DANGOTE"Mfano ni nani?