Ally Dangote auawa jijini Arusha
Nipo serious mkuu,ukute alifananishwa au labda niyeye,ndomaana nikasema,ni vema angetiwa nguvuni,halafu afikishwe mbele ya vyombo vya sheria,haki itendeke.Hiyo mob justice,ingekua vema ikaelekezwa kwa wezi wa mali za umma,ambao wanajulikana na karibia kila mtanzania,ila sheria hazichukui mkondo wake,jamii ingeheshimika,kuliko kumuua mtu,tena yawezekana hakupewa hata nafasi ya kusikilizwa,lakini ndo hivyo.Kuna habari za watu wengi tu kuuawa,kwa kuitiwa mwizi,huku si kweli,na watu kuua bila kumhoji wala kumsikiliza,siyo fair kabisa.Anyway ndiyo umma wetu huu.
Blaa bkaaa Tena unaandika
 
nimeweka link hapo juu
alikamatwa na akakili kabisa mwaka jana mwezi wa 5 lakini wananchi wanashangaa yupo bado mtaani
Hawa majambazi kuwepo mtaani wakitokea polisi limekuwa jambo linalosikIka sana Tanzania.

Aidha kuna "loopholes" nyingi kwenye sheria zetu za jinai au wanaowawachia ni chama kimoja.
 
Katika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwa kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni

Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai.

Pia soma > Kibaka maarufu, Ally Dangote atiwa mbaroni Arusha

View attachment 2820024
Ally Dangote(Kulia)​
Huyu Ally, mbona nikimtizama nikama ana Tatizo la Akili?.


Dunia Kwa Sasa imeshindwa kabisa kutoa muda wa kujali wenye uhitaji .
 
Ukifuatilia historia vizuri utakuta huyo dogo kuna mahali ALIONEWA au ALIDHULUMIWA akiwa mdogo!

Tena kuna majitu mengine ni MAOVU kuliko huyo dogo lakini yapo humu yanashabikia.

Majizi na Machawi yamejificha yanakenua tu. Bila kusahau WAFIRAJI na WABAKAJI.
 
Dogo alikua katili sana aisee kwa idadi ya watu alioua na alikua anaua yeyote tuu Wananchi wamepumzika hayo maeneo ya Unga limited na Ngarenaro...
Huyu hakuwa sawa, kuna mahali ALIONEWA. Tena ALIONEWA SANA, ndio maana akageuka kuwa KATILI SANA.

Watu wanaweza kumbadilisha MALAIKA kuwa IBILISI.

Drink your own POISON, tena angewapiga mabisu ya kutosha, HAMJITAMBUI.
 
Katika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwa kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni

Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai.

Pia soma > Kibaka maarufu, Ally Dangote atiwa mbaroni Arusha

View attachment 2820024
Ally Dangote(Kulia)​
1700495442645.jpeg
 
Back
Top Bottom