Ally Dangote auawa jijini Arusha
Kijana mdogo kabisa huyo dangote halafu polisi na wenyewe wanachangia watu kuchukua sheria mkononi coz mtu ameshajulikana mara kibao kwamba ni mharifu na amekamatwa mara nyingi ila bado alikuwa anadunda tu uraiani.
Safi sana kazi nzuri wananchi huo ndiyo ushirikiano sababu polisi na mahakama wanashindwa kulinda usalama wetu.
 
Kwanini hakuna Mob Justice kwa mafisadi wa fedha za Umma na extra judicial killings chini ya baraka za serikali ? rejea watu kuokotwa kwenye viroba, Ben Saa 8, Azori & E.t.c ... Wezi wa kuku na viTVndio wanauwawa wa Matrillion wanasindikizwa na Escort hotelini
Anzisha polisi jamii mtaani kwako, kama wapo vibaka unaowasema muwashughulikie, hawa vijana hapa wameshughulikiwa na polisi jamii za mitaani kwao.
 
Back
Top Bottom