proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
[emoji848][emoji848][emoji848]Kwa nini alikuwa akiua watu kama unavyadai ? Sababu ya huyu mtu kutekeleza mauaji ya watu hasa ilikuwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji848][emoji848][emoji848]Kwa nini alikuwa akiua watu kama unavyadai ? Sababu ya huyu mtu kutekeleza mauaji ya watu hasa ilikuwa nini?
mh!Ally Dangote sio vijana wa Sa7ya kweli?
Kama alikuwa muuaji hawezi kupumzika Kwa amaniApumzike Kwa Amani
Huyu jamaa mwendawazimu sana aisee [emoji23][emoji1787]Kibaka apumzike kwa amani kwa lipi jema alilofanya
Hizi ni tuhuma mahakama haijathibitishaKwa nini alikuwa akiua watu kama unavyadai ? Sababu ya huyu mtu kutekeleza mauaji ya watu hasa ilikuwa nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Rest in hell Alli bastard...[emoji2955]
Sasa na wewe ndy uandishi gani hui?Uyo janja wacha wamuue ni mhuni mbaya..nammanya kwetu arusha ni kimbaka hatari ashakua na roho ya malaika izraeli.amekulia mitaa ya uswahilini in short wqnqnchi wamefanya kaz yqo. jela alishaenda sana na kutoka
Na wewe umejiona umeuliza bonge la swali kumbe upupu tu,sasa kibaka hujui ukimzengua lazima akupokonye uhai!? Au hujasoma habari kuwa alikuwa kibaka!?Kwa nini alikuwa akiua watu kama unavyadai ? Sababu ya huyu mtu kutekeleza mauaji ya watu hasa ilikuwa nini?
Atakuwa Classmate wa Ushimen nae huyu.Kama alikuwa muuaji hawezi kupumzika Kwa amani
Post namba moja imewekwa link ifate ukasome, utapata jibu.Kwa nini alikuwa akiua watu kama unavyadai ? Sababu ya huyu mtu kutekeleza mauaji ya watu hasa ilikuwa nini?
Anzisha polisi jamii mtaani kwako, kama wapo vibaka unaowasema muwashughulikie, hawa vijana hapa wameshughulikiwa na polisi jamii za mitaani kwao.Kwanini hakuna Mob Justice kwa mafisadi wa fedha za Umma na extra judicial killings chini ya baraka za serikali ? rejea watu kuokotwa kwenye viroba, Ben Saa 8, Azori & E.t.c ... Wezi wa kuku na viTVndio wanauwawa wa Matrillion wanasindikizwa na Escort hotelini
Mitaa ya sinoni na ungalimited watu wamefanya sherehe leo, maana hawajaaminiView attachment 2820027
Kulikuwa na kampeni kubwa sana kumsaka, yapata mwezi mzima
[emoji1787][emoji1787]Ally Dangote sio vijana wa Sa7ya kweli?
Alikuwa haibi chochote zaidi ya kuuwa tuKama Kweli Ni kibaka acha awaishwe kwa mungu baba
Mashalii ya Arusha wanafuta bangi kupita maelezo na wakisha kufuta wanakufamia na kukufanya vurugu