grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Muuaji na yeye auwawe FULL STOPWe unaonaje Braza Dangote ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muuaji na yeye auwawe FULL STOPWe unaonaje Braza Dangote ?
Tarajia mauaji Zaid kamanda.Muuaji na yeye auwawe FULL STOP
Alikuwa pure psychopath kama Sabaya
Ndio, acha zijae tuTarajia mauaji Zaid kamanda.
Hasa huku tunapokwenda Jela zitajaa Kama ilivyo Mochwari.
Kosa hali halalishi makosa yake.Ukifuatilia historia vizuri utakuta huyo dogo kuna mahali ALIONEWA au ALIDHULUMIWA akiwa mdogo!
Tena kuna majitu mengine ni MAOVU kuliko huyo dogo lakini yapo humu yanashabikia.
Majizi na Machawi yamejificha yanakenua tu. Bila kusahau WAFIRAJI na WABAKAJI.
Kuna sehemu nilisikia ni kisasi kwa jamaa yake aliyeuawa yeye akiwa ndani
Kuna Maza mmoja nilimsikia eti ni kafara ya babu yake wa huko iringa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Thubutuu!
Mbona wakati akiwa hai mlikuwa mnajificha uvunguni kama vitoto vya kuku!
Mwamba akisugua jambia lake kwenye jiwe wote mnatimka nduki mnaenda kujibanza kwenye sketi za dada zenu! Chezea Ali Dangote wewe!
Amekufa ndio unajifanya kubweka kama MANUNU! THUBUTU YAKO!
Yote kheri tu, hatuwezi kuishi roho juujuu hapa Arusha mjini kila kukicha.Siyo kweli hakuachiwa Huyo kafia kwenye mikono ya polisi hajauliwa na wananchi
OLEWAKE ARUDI TENA.....Katika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwa kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni
Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai.
---
Mamia ya wakazi wa Jiji la Arusha leo wamejitokeza kushuhudia mwili wa kijana anayetambuliwa kwa jina la Ally Dangote (19) aliyeuawa kwa kupigwa risasi na polisi, akidaiwa kutoroka baada ya kukamatwa.
Dangote kabla ya kutajwa kuhusika na matukio ya mauaji alikuwa rumande Magereza kwa muda mrefu kwa tuhuma za mauaji na hatimaye mwaka huu aliachiwa huru na Mahakama kutokana na kukosekana ushahidi lakini alikamatwa tena baada ya tuhuma za uhalifu mwingine.
Akizungumzia kifo hicho leo Jumatatu Novemba 20, 2023 Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Salvas Makweli amesema Dangote ameuawa baada ya kupata jeraha la risasi wakati akiwatoroka polisi.
"Ni kweli huyu mtuhumiwa alikuwa anasakwa kwa muda mrefu kwa tuhuma za wizi na mauaji na leo baada ya kuwekewa mitego tulimkamata na wakati anakwenda kuwaonesha wenzake aliruka kwenye gari na ndipo alipigwa risasi na kutokana na kuvuja damu nyingi alifariki akiwa hospitali," amesema.
(Imeandikwa na Mussa Juma)
Pia soma > Kibaka maarufu, Ally Dangote atiwa mbaroni Arusha
View attachment 2820024
Ally Dangote(Kulia)
Jamii hisiyotaka kuwajibika kwa matendo yake yenyewe huzalisha akina Ally Dangote wengi tu.
Jamii inayoshindwa kumdhibiti kijana wa kiume wa umri wa miaka 19 tu ni jamii iliyoshindwa kwa maana katika uso wa ulimwengu huyo bado ni mtoto.
Mtoto alieua watu 9 na mara zote akafanikiwa huku akijeruhi wengine.
Mtoto mmoja alieishinda jamii ya maelfu ya watu wazima wa kila kariba mpaka jeshi la polisi.
.
Rest in Hell kwake kijana wa hvyo huyo,Katika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwa kutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni
Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai.
---
Mamia ya wakazi wa Jiji la Arusha leo wamejitokeza kushuhudia mwili wa kijana anayetambuliwa kwa jina la Ally Dangote (19) aliyeuawa kwa kupigwa risasi na polisi, akidaiwa kutoroka baada ya kukamatwa.
Dangote kabla ya kutajwa kuhusika na matukio ya mauaji alikuwa rumande Magereza kwa muda mrefu kwa tuhuma za mauaji na hatimaye mwaka huu aliachiwa huru na Mahakama kutokana na kukosekana ushahidi lakini alikamatwa tena baada ya tuhuma za uhalifu mwingine.
Akizungumzia kifo hicho leo Jumatatu Novemba 20, 2023 Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Salvas Makweli amesema Dangote ameuawa baada ya kupata jeraha la risasi wakati akiwatoroka polisi.
"Ni kweli huyu mtuhumiwa alikuwa anasakwa kwa muda mrefu kwa tuhuma za wizi na mauaji na leo baada ya kuwekewa mitego tulimkamata na wakati anakwenda kuwaonesha wenzake aliruka kwenye gari na ndipo alipigwa risasi na kutokana na kuvuja damu nyingi alifariki akiwa hospitali," amesema.
(Imeandikwa na Mussa Juma)
Pia soma > Kibaka maarufu, Ally Dangote atiwa mbaroni Arusha
View attachment 2820024
Ally Dangote(Kulia)
Tuangalie case ya huyu Allay Dangote.
Angalia size yake na size ya hao Askari aliojaribu kuwatoroka.
Tuangalie kwa u ndani hayo mazingira na namna ya ukamataji unaoshindwa kumdhibiti mtoto wa miaka 19 akiwa chini ya ulinzi mpaka apate mwanya wa kutoroka.
Na mwisho tuangalie kwanini watuhumiwa wote wanaojaribu kutoroka ni lazima wauawe kabisa badala ya kuvunjwa miguu (kwa risasi) ili kumaliza hizo mbio?
Tukubali tu ni jamii tuliyoshindwa. Mitaa inawatengeneza kina Ally Dangote then mamlaka zinazopaswa kudeal nao kwa kufuata utaratibu tuliojiwekea sisi wenyewe, zinafanya maamuzi ya kutumia njia ya mkato kumaliza tatizo jambo ambalo badala litoe matokeo chanya linaleta matokeo tofauti na hatimaye a circle of misery is created.
NAKAZIAKuna watu lazima wawe eliminated ili Dunia iwe salama
Vema.Nani angeenda kutoa ushahidi kuithibitishia mahakama kuwa aliua? Mahakama haiwezi kupata ushahidi wa uhalifu, jamii inayomzunguka ndiyo inayomjua. Hayajawahi kukukuta ndiyo maana unasema R.I.P kwa muuwaji aliyeuawa. Wakati mwingine tukubali tu kuna wahalifu tunaishi nao kwenye jamii zetu inatakiwa wasiishi wanasumbua kuanzia wazazi wao. Jamii za zamani wazazi walikuwa wana declare kwamba huyu katushinda wazee wanamaliza wenyewe. Huwezi kuishi mtaani mnashindwa hata kutuma mtoto dukani kwa sababu ya pimbi mmoja ambaye mnamjua
Wali paswa kumuua slowly. Kifo cha maumivu yaani ile anakufa anapuliziwa. Watu wasiishi kwa amani kisa katoto hako.View attachment 2820027
Kulikuwa na kampeni kubwa sana kumsaka, yapata mwezi mzima