Tripple MM
JF-Expert Member
- May 31, 2023
- 417
- 567
Ishiii.. nilivyosikia dangote nikajua ni wa maana anatisha kumbe utopolo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeweka link hapo juu, alikamatwa na akakiri kabisa mwaka jana mwezi wa 5 lakini wananchi wanashangaa yupo bado mtaani.Nipo serious mkuu,ukute alifananishwa au labda niyeye,ndomaana nikasema,ni vema angetiwa nguvuni,halafu afikishwe mbele ya vyombo vya sheria,haki itendeke.Hiyo mob justice,ingekua vema ikaelekezwa kwa wezi wa mali za umma,ambao wanajulikana na karibia kila mtanzania,ila sheria hazichukui mkondo wake,jamii ingeheshimika,kuliko kumuua mtu,tena yawezekana hakupewa hata nafasi ya kusikilizwa,lakini ndo hivyo.Kuna habari za watu wengi tu kuuawa,kwa kuitiwa mwizi,huku si kweli,na watu kuua bila kumhoji wala kumsikiliza,siyo fair kabisa.Anyway ndiyo umma wetu huu.
Nani angeenda kutoa ushahidi kuithibitishia mahakama kuwa aliua? Mahakama haiwezi kupata ushahidi wa uhalifu, jamii inayomzunguka ndiyo inayomjua. Hayajawahi kukukuta ndiyo maana unasema R.I.P kwa muuwaji aliyeuawa. Wakati mwingine tukubali tu kuna wahalifu tunaishi nao kwenye jamii zetu inatakiwa wasiishi wanasumbua kuanzia wazazi wao. Jamii za zamani wazazi walikuwa wana declare kwamba huyu katushinda wazee wanamaliza wenyewe. Huwezi kuishi mtaani mnashindwa hata kutuma mtoto dukani kwa sababu ya pimbi mmoja ambaye mnamjuaPole kwa familia,ndugu na jamaa,may his soul R.I.P.
Mob justice ni mbaya,wangempeleka mbele ya vyombo vya sheria,haki itendeke,ukute alisingiziwa au kafananishwa.
Ni kweli mob justice ni mbaya. Lakini ukiona katajwa hilo jina inaonekana ni mtu maarufu kwa shghuli hiyo na anafahamika kwa hilo.
Shida kubwa ni polisi huwa wanawaachia wakishahonga.
Huyu jamaa ameamua kuwa upande wa dangote mwache tuUyo janja wacha wamuue ni mhuni mbaya..nammanya kwetu arusha ni kimbaka hatari ashakua na roho ya malaika izraeli.amekulia mitaa ya uswahilini in short wqnqnchi wamefanya kaz yqo. jela alishaenda sana na kutoka
Mafisadi hayooo yanatanua tu! Washenzi wamekunja bilioni 345 kiulainii. Halafu wewe upo unakimbizana na TRA na kiduka chako cha mtaji wa milioni 5 ili watoto wako wale na kusoma. Hawa ndiyo wanakuja kujenga mahekalu ya kutisha na kucheka vijana kuwa siyo wabunifu na kwamba elimu yao haijawasaidia.Kwanini hakuna Mob Justice kwa mafisadi wa fedha za Umma na extra judicial killings chini ya baraka za serikali ? rejea watu kuokotwa kwenye viroba, Ben Saa 8, Azori & E.t.c ... Wezi wa kuku na viTVndio wanauwawa wa Matrillion wanasindikizwa na Escort hotelini
Si ungemuuliza Ally mwenyewe?!!.Huyu mleta taarifa ni mjumbe tu,na siku zote mjumbe hauawi.Kwa nini alikuwa akiua watu kama unavyadai ? Sababu ya huyu mtu kutekeleza mauaji ya watu hasa ilikuwa nini?
AiseeeMafisadi hayooo yanatanua tu!
View attachment 2820029
Duuuh! hao hawaguswi na hukumu inatolewa haifiki hata nusu bilioni,ilhali wao wamepiga zaidi ya bilioni 300Mafisadi hayooo yanatanua tu!
View attachment 2820029
Alhamisi iliyopita nilipata taarifa kwa kijana wa Handeni kuwa Kuna mzee anakuja kumaliza kazi kwani nasikia dogo babu yake wa huko iringa alikuwa anamlinda kimazungaraKatika kipindi cha Mwezi mzima Kijana Ally Dangote amekuwa akitafutwa kwakutekeleza mauaji ya watu mbalimbali katika maeneo ya Longdong, Ungalimited na Sinoni
Kijana huyu alikuwa anatafutwa na Jeshi la Polisi, majira ya Leo mchana wananchi wenye hasira kali wamemtia nguvuni na kumpokonya uhai.
Pia soma > Kibaka maarufu, Ally Dangote atiwa mbaroni Arusha
View attachment 2820024
Ally Dangote(Kulia)
Halafu ni kitoto tu kiasi kwamba unaweza kuchapa makofi lakini ni jambaziGo to hell coward
Kuna siku alitukosakosa tukiwa tunatoka Bills tukiwa na Bajaj, tulishukuru gari lilikuja mbele yetu akazani ni pila la doria
Seems like it was a mental case.View attachment 2820027
Kulikuwa na kampeni kubwa sana kumsaka, yapata mwezi mzima
Hata ukimwangalia hayuko sawaSeems like it was a mental case.
Mkuu humjui huyo jambaziPole kwa familia,ndugu na jamaa,may his soul R.I.P.
Mob justice ni mbaya,wangempeleka mbele ya vyombo vya sheria,haki itendeke,ukute alisingiziwa au kafananishwa.