Ally Dangote auawa jijini Arusha
Malezi mabovu yanaanzia majumbani humo .
Haya machokoraa yanapelekwa ovyo na rasult inakuwa uharibifu kwa jamii
 
Acha uwongo jomba nakido napajua ila Mimi na wewe hatujawahi kuonana kama ni kweli niambie nafananaje🤣
Chalii flan mwembamba hivi mweusi mara nying nikikutana na wew nakukuta ume tinga kimtindo
 
Pole kwa familia,ndugu na jamaa, may his soul R.I.P.

Mob justice ni mbaya, wangempeleka mbele ya vyombo vya sheria, haki itendeke, ukute alisingiziwa au kafananishwa.
Wewe utakuwa mtoto wa kota
 
Kuua sio njia sahihi

Maana kijana wa 19yrs bado Mdogo angejengewa misingi mipya ya kuitafuta Kesho yake iliyo Bora.


Hakuna Binadamu huwa anazaliwa ili aje awe Jambazi au muuaji isipokuwa hizi huwa ni hali zimavaa Mtu na kuharibu future yake huku yeye akiwa hana tena maamuzi na destiny yake .
Huyo katolewa kama Mfano kwa vijana wengine watukutu
 
Basi isiwe kesi ila Tulishawahi kuchat kwa Id yangu nyingine hivyo nakufaham usibishe
Utakuwa umekosea huko pande za nakido nakumbuka mara ya mwisho kwenda ni 2020 kulikua na kituo Cha kupiga kura hapo shuleni!!
Nikipitaga mitaa ya hapo niko na bike au gari za ofisi halafu sinaga shobo na mtu alafu Mimi sio mweusi au mwembamba labda ulikua unaota

Ukitaka kuthibitisha si Mimi ni pm na hiyo ID yako nyingine nione tulivyo chati
 
Back
Top Bottom