antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Duh!Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Ally Hepi alicheleweshwa sana, alimtukana Kikwete na wastaafu wengine huku kiburi cha magufuli kikiwa kimempanda sana. ni kijana mjinga sana yule.Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Ni mwanzo tuMuda umeongea...
Si uadui na Mtu, na hakuna aliyeanguka maana haya ni madaraka tu ya Muda, tusiwe too personalUsifurahi juu yangu we adui yangu niangukapo mimi nitasimama tena
Mama anazidi kusafisha ho sukuma gangImekuwaje?
Tukivumiliana walau kwa wiki 2 utawasikia kwenye teuzi nyingine.
Mkuu wa mkoa wa DSM wa zamani vipi hajasamehewa? Siku hizi hata hatujui mwenye mkoa ni nani!! Wabara wanakuja wachafu wachafu.Maskini, Musiba kaachwa tena
Na wewe utakuwa Sukuma gang tuMleta mada lazima atakua ni mchaga, na mfuasi wa Chadema, lazima.
Vipi kwa wanaomtukana Magufuli Sasa?Ally Hepi alicheleweshwa sana, alimtukana Kikwete na wastaafu wengine huku kiburi cha magufuli kikiwa kimempanda sana. ni kijana mjinga sana yule.
Wewe hiyo mimba mbona imekua kero?Na wewe utakuwa Sukuma gang tu
Sijui kapotelea wapiMkuu wa mkoa wa DSM wa zamani vipi hajasamehewa? Siku hizi hata hatujui mwenye mkoa ni nani!! Wabara wanakuja wachafu wachafu.
Wake wanne !!!Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana
Kafulila alishajiona ana akili kuliko yeyote huko Simiyu , body language yake alipokuwa kwenye vikao usingedhani kama alizaliwa BuzebazebaAli Hapi alishaonywa na mama walau, Kafulila alikuwa on fire sana. Duh maisha haya ni mitihani sana
Mama ni kama anasafisha kizazi chote cha wale sukuma gangWaje tu tukalime wote maana sisi wote ni watanzania.
Na mashamba yapo ya kutosha.
Njoo uichukue basi kama waona wivuWewe hiyo mimba mbona imekua kero?
Sio jambo la kudhangaza sanaaa maana ndio maagizo ya Allah aliyo tuachia na waumin hatuna budi kutekeleza na kuigaAna wake wanne?
Karibuni uraiani sasa, kumekucha salama na mmeamka na taarifa sahihi kabisa. Ally Happi nenda kaendelee kuwalea wake zako wanne sasa, Kafulila njoo mtaaani uone maisha halisi.
Mlijisahau sana sana. Cheo ni dhamana