Ally Kamwe: Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani

Ally Kamwe: Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani

Ali Kamwe ✔️

Hersi Said 👀👀👀👀👀
maxresdefault.jpg
 
Haji Manara akipewa usemaji, najitoa kuchangia Yanga moja kwa moja, sitahudhuria vikao vya wanachama, sitafanya chochote kuhusu Yanga na moyo umeniuma sana, GSM kama ndio kaamua hili la Haji Manara awe msemaji, atapata tatizo kubwa toka kwa wananchi…!!

Manara hapanaaaaa, hapanaaaaa kabisa😡😡😡😡
 
Anaemuweka mzungu pori yanga ni ghalib na Hersi lkn sidhani kama kuna mwana yanga yoyote anaemkubali yule jamaa,, kamkimbiza nugaz na bumbuli na sasa Ali kamwe,,,
Yanga wenye akili watatu,,
Kikwete, Sunday manara na mzee magoma,,
 
Hii Taarifa ina ukweli gani?


Hiyo hata ningekuwa mimi, Mtu kaita Waganga wote kutoka Rufiji waje wamzindike halafu uendelee kushangaa, labda kama hujitaki

===

Ally Shaban Kamwe baada ya kuhudumu kwa misimu miwili kama Meneja wa idara ya Habari na Mawasiliano Yanga SC ,leo ameandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kuitumikia kwa mafanikio.

Kamwe alianza kazi Yanga September 25,2022 , leo July 29 amejiuzulu taarifa rasmi itatolewa muda wowote kuanzia sasa

Shaffi Dauda

=====

Ally Kamwe amepost haya kwenye ukurasa wake wa Insta akiwaaga mashabiki wa Yanga;

A Good dancer must know when to Leave a Stage.

𝑀𝑡𝑢𝑚𝑏𝑢𝑖𝑧𝑎𝑗𝑖 𝑚𝑧𝑢𝑟𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑡𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑗𝑢𝑎 𝑛𝑖 𝑤𝑎𝑘𝑎𝑡𝑖 𝑔𝑎𝑛𝑖 𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑜𝑛𝑑𝑜𝑘a 𝐽𝑢𝑘𝑤𝑎𝑎𝑛𝑖..

Maneno ya hekima kutoka katika kinywa cha Patrick Loch Otieno Lumumba;

Na ni Hekima hii, inanituma mbele yenu Wananchi, Mashabiki na Wanachama wa Klabu yetu pendwa, kuwaambia kuwa, Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani.

Nimesimama Miaka miwili juu ya hili Jukwaa, Tumeimba, Tumecheza, Tumefurahi na Alhamdulillah Tumeshinda pamoja kila pambano Lililokuja mbele yetu.

Muda wangu umemalizika na Asanteni sana.

Tutaonana tena Wakati mwingine nikiwa na kitu kizuri cha kuwaonyesha Juu ya Jukwaa.

DaimaMbeleNyumaMwiko.

Mwenyekiti wa Wasemaji

Ally Kamwe.
Manara ana gundu sasa hivi Yanga tutaanza kupoteza michezo. Yaani Manara kaitia nuksi simba sasa kija yanga ndiyo balaa. Tatizo kubwa la Manara ni kupenda maisha ya juu wakati hana uwezo, matokeo yake anauza mechi kwa wapinzani. Nashauri kabisa afukuzwe yanga arudi huko alikokuwa. Bila kufungiwa leo Yanga tusingekuwa na utulivu na ushindi. Manara ni mla rushwa wa kuuza siri kwa wapinzani
 
Hii Taarifa ina ukweli gani?


Hiyo hata ningekuwa mimi, Mtu kaita Waganga wote kutoka Rufiji waje wamzindike halafu uendelee kushangaa, labda kama hujitaki

===

Ally Shaban Kamwe baada ya kuhudumu kwa misimu miwili kama Meneja wa idara ya Habari na Mawasiliano Yanga SC ,leo ameandika barua ya kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kuitumikia kwa mafanikio.

Kamwe alianza kazi Yanga September 25,2022 , leo July 29 amejiuzulu taarifa rasmi itatolewa muda wowote kuanzia sasa

Shaffi Dauda

=====

Ally Kamwe amepost haya kwenye ukurasa wake wa Insta akiwaaga mashabiki wa Yanga;

A Good dancer must know when to Leave a Stage.

𝑀𝑡𝑢𝑚𝑏𝑢𝑖𝑧𝑎𝑗𝑖 𝑚𝑧𝑢𝑟𝑖 𝑎𝑛𝑎𝑡𝑎𝑘𝑖𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑗𝑢𝑎 𝑛𝑖 𝑤𝑎𝑘𝑎𝑡𝑖 𝑔𝑎𝑛𝑖 𝑤𝑎 𝑘𝑢𝑜𝑛𝑑𝑜𝑘a 𝐽𝑢𝑘𝑤𝑎𝑎𝑛𝑖..

Maneno ya hekima kutoka katika kinywa cha Patrick Loch Otieno Lumumba;

Na ni Hekima hii, inanituma mbele yenu Wananchi, Mashabiki na Wanachama wa Klabu yetu pendwa, kuwaambia kuwa, Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani.

Nimesimama Miaka miwili juu ya hili Jukwaa, Tumeimba, Tumecheza, Tumefurahi na Alhamdulillah Tumeshinda pamoja kila pambano Lililokuja mbele yetu.

Muda wangu umemalizika na Asanteni sana.

Tutaonana tena Wakati mwingine nikiwa na kitu kizuri cha kuwaonyesha Juu ya Jukwaa.

DaimaMbeleNyumaMwiko.

Mwenyekiti wa Wasemaji

Ally Kamwe.
Manara ana gundu sasa hivi Yanga tutaanza kupoteza michezo. Yaani Manara kaitia nuksi simba sasa kija yanga ndiyo balaa. Tatizo kubwa la Manara ni kupenda maisha ya juu wakati hana uwezo, matokeo yake anauza mechi kwa wapinzani. Nashauri kabisa afukuzwe yanga arudi huko alikokuwa. Bila kufungiwa leo Yanga tusingekuwa na utulivu na ushindi. Manara ni mla rushwa wa kuuza siri
 
Na hapo Manara inabidi asafishe idara nzima bila hivyo atakuwa anagombana kila siku na watu aliowaacha Kamwe. Kiufupi huu utakuwa msimu mgumu kwenu.

Haitakuwa rahisi kumtoa Manara kama mnavyodhani.
 
Back
Top Bottom