Unaongelea akili gani ?!!![emoji1787][emoji1787]
CCM ni chama cha siasa...siasa ni watu na hisia zao.....
Unataka CCM iendeshwe kwa akili za kanuni za HESABU ,BIOLOGY na PHYSICS?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Ukitaka kisiwe ni chama cha siasa na kipotee....tukupe wewe "mwenye akili ulioambiwa uziache nyumbani" na maprofesa wa uhandisi wa pale UDSM...mkiendeshe miezi 6 tu halafu tujionee huo MWEREKA wenu.....
Mh.JK alipata kusema "huo ni upepo tu"......[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app