1. Hili jibu halikusaidii Mheshimiwa, kama hutaki kutujibu hapa ondoka maana hatujakuita umejileta mwenyewe. Tulishazoea ndugu zetu wanauawa mnafurahi, Leo unaulizwa unakwepa eti watu wakutafute pembeni!!? Waambie Watanzania nini kilichotokea?Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Bora anae anzisha na kujibu kuliko anae kimbia maana anawaachia watu ugumu wa kumteteaMkuu Mwigulu Nchemba humu weka uzi halafu tembea usisubiri majibu humu kuna watu tuna majibu/maswali yanayoweza kumuua mtu
Ndio maana Tundu Lissu, Lema wote na verified IDs humu huwa wanaanzisha uzi na kuondoka, hawakosei maana humu unaweza hisi unakufa kwa comments zilivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani kuwa, Najitahidi kuwa, nimefankkiwa kwa kipimo Gani wenzangu mnanijua zaidi
Wewe Mwigulu sitokusamehe kamwe kwa dhambi yako ya kuficha uovu aliofanyiwa Tundu Lissu. Pia nina taarifa zako kuhusu tukio la Ben Saanane. Hivi huoni aibu kuwa mtu uliyekuwa ukijibizana naye humu Jf amepotezwa wewe ukiwa waziri wa mambo ya ndani?NAONESHA MSISITIZO 😄😄😄😄😄😄
wewe ni mmoja wa wanao sifia utawala uliofitinika nadhani. Leo nashangaa unamwuliza mwigulu tatizo la ajira jambo ambalo lipo nje ya uwezo wake
Weka majibu hapa maana kila mtu ana dukuduku la majibu hayoNitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
umepanic relax ila nasikia elimu yako ni ile sijui kufeli la 7 kurudia baada ya mda ndiyo ukabahatisha kutoboaSio KAWAIDA YANGU KUPANIC, SIKUPANIC KWENYE MITIHANI NIJE NIPANIC KWA SASA[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mkuu akutafute vipi,wewe SI umesema ana kwa Ana hapa!Kiungwana jibu hivi;Hizo Ni top secret za Nchi zuwezi jibu hapa!Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
KYALOSANGI
Hauna poet licence ya kuvuruga lugha jitahidi kutuma grammatical rules katika uandishi au haujawahi kusoma stanx?Lete vya DARASANI TUJADILI VILIVYO BETTER, sio kila WAKATI ukae na PhD rafiki yangu. Mimi sio wa hivyo
Ona aibu kuwa muongoBavarian8
Hatujawahi kukataa uwepo wa tume huru ya uchaguzi. Hata kwenye katiba mpya ilikuwa agenda. Wenezetu walikataa. Agenda ya tume huru ni pana
unapoongea raisi wako unamaanisha kuwa unataka uteuzi au?Unatumia redio mbao wewe, USIMLISHE MANENO RAIS WANGU. Mhe RAIS wangu anashughulika na mambo MAKUBWA hajawahi KUSEMA hivyo Wala kuniambia binafsi. Hayo ni maneno ya kubuni ya watu kama wewe hivi
Hivi yule jamaa wa tindikali uliyekuwa unazunguka naye ili kujipatia kick siku hizi yuko wapi?Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Mimi ni CCM, KATIBA YA CCM NAIJUA, NA UTAMADUNI WA CCM NAUJUA, 2020 NI CHAGUA MAGUFULI, KAZI IENDELEEMwaka huu tutarajie tena Mwigulu Nchemba raisi 2020 kwenye mawe njiani?
Sent using Jamii Forums mobile app