NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Muheshimiwa Mwigulu, hata kama unasema sio kila muda unatumia PhD yako lakini nakushauri jitahidi kufuata kanuni za uandishi.Yes, HILI NI TATIZO, HII NI HOJA YA MSINGI.
Tar 20 tulikuwa na mjadala mpana SINGIDA, TATIZO HILI LINAWEZA KUPUNGUA KWA KUWEKEZA KWENYE MODERNIZATION OF PRODUCTION PRICESS MIKOANI KWETU, ILI SHUGHULI ZA UZALISHAJI ZITOE FAIDA ZINAZOLIPA HIVYO ZITENGENEZE AJIRA. HIVYO TULIKUWA NA RCC. TULICHAKATA SANA.
BUT AJIRA NI TATIZO NA NI MAADA PANA SANA, HAINA JIBU MOJA
Kasema hayafuti na hajaona huko mnakosema pameandikwaMkuu,
Hivi bado una ndoto ya uraisi wa nchii hii? Huoni mabango yako kwenye mawe yale ya 2015 yanaharibu utalii wetu unampango gani kuyafuta?
Yani huyu ndie alitaka kuwa Rais wa Watanzania 2015.Muheshimiwa Mwigulu, hata kama unasema sio kila muda unatumia PhD yako lakini nakushauri jitahidi kufuata kanuni za uandishi.
Hali kadhalika kuhakiki unayoyaaindika kabla ya kuyabandika na hata baada ya kuyabandika (ku-post).
Uandishi huakisi mambo mengi ikiwemo umakini wa mtu ktk mambo yake na majukumu kwa ujumla. Pia kupitia uandishi wa mtu waweza kujua kama mwandishi yuko 'organised' au 'disorganised' katika mambo yake.
Kazi ya kupoteza watu bado mnaitaka siyo? Chini ya utawala wa Magufuli na nyie hasa wewe uliyekuwa waziri wake wa mambo ya ndani Tanzania imekuwa nchi ya AIBU KUBWA!Mimi ni CCM, KATIBA YA CCM NAIJUA, NA UTAMADUNI WA CCM NAUJUA, 2020 NI CHAGUA MAGUFULI, KAZI IENDELEE
Unataka kutuaminisha nini kwa yule jamaa anayepayuka kila siku kwenye mimbari kwamba yeye alidipu ila akapigiwa? Ili hali chaguo la watu kwa mwaka 2015 lilijionesha wazi kuanzia ndani ya CCM watu waliimba na nyimbo kabisa kuwa wanaimani na mtu flani.?URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Mh Mwigulu heshima kwako mkuu,NDIO PANAPO UZIMA
Nakupata wapi ?Hilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Kangi ndani anakwenda , boss wa takukuru anasema watamshtak kwa case ya UHUJUMU UCHUMI kila kitu Kiko tayariAhaha!....Hiv Mkuu Ufalme unaeza jifitini wenyewe?
Sidhani kama Ufalme unaeza jifitini wenyewe zaidi ya janja janja tu kufanyika!
Kwa hili nitamtetea, ni wangapi hapa JF ambao wanaweza kujitokeza na kujitapa kuwa organized zaidi ya huyu?Yani huyu ndie alitaka kuwa Rais wa Watanzania 2015.
Ama kweli maajabu hayawezi kukoma...
Kuna kamsemo a problem with political jokes they end up elected.....ni Kama mtu kahack I'd yako mkuu hadi Leo unakua mtu wa kulingishia skafu za bendera na elimu ya ilboru....Kuna sehem Kuna tatizoSio KAWAIDA YANGU KUPANIC, SIKUPANIC KWENYE MITIHANI NIJE NIPANIC KWA SASA[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]