Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Wapo wengi watakuja lkn ukijielewa vema huendi kufanya hyo biashara
 

Kwa wanawake wasiojitambua ndo wanaweza kuchukua hiyo hela na kuuza mtoto. Kwanza hapo unachezea kifo....uzazi sio predictable kwamba utatoboa...risks ni nyingi mno. Pia kukosa connection na mtoto dahhh...hata huyo asiyeuliza hali ya mtoto ujue anajua ipo siku atampata tu.... sio kama hyo ya kukatiwa connection kabisaa...
Ila binafsi hapana. Na mayai ninayo debe.
 
Umesema ingekua milion 500 ungejilipua kwa maana iyo kwako shida sio kufanya iyo biashara shida ni dau lililotangazwa kwako ni dogo au sio
 
Mabinti chukueni hilo deal.
Halafu mjiongeze na mjue nini cha kufanya ili jamaa awe wako kabisa.
Mlee mtoto wenu kwa raha na mustarehe.
Hapa mjini bila kujiongeza mambo hayaendi lazima kufosi king.
 
Shida haziishi mkuu
Haya kesho hyo M50+ imeisha atauza nini tena...
Shida zisitutoe utu
Ukiwa na mipango mizuri milioni 50 inakutoa kimaisha.. hata ukipiga hustlings zingine hainaanishi kwamba pesa utayopata haitaisha na hapo hakuna utu wowote uliotolewa maana mtoto kwa sababu mtoto hajakufa wala hajadhulika unheambiwa ujifungue alafu mtoto umtoe kafara hapo tungesema hauna utu lakini unazaa kwa makubaliano unapewa chako na mtoto unamkabidhi kwenye mikono salama sioni utu wowote uliokiukwa hapo
 
Ujue miezi tisa sio mchezo kuja kumtoa mtoto tu
 
Wewe ungezaliwa halafu just by mistake siku uje uambiwe mama ako alikuzaa halafu akakuuza ungefurahi sana kwakuwa tu alikuuza kwenye mikono salama???
 
Binafsi nilimtania tu kwamba ningejilipua.... ila hata kwa wale ambao wangejaribu hela aliyotaja ni ndogo kwa wao ku risk
Udogo au ukubwa wa hela unatofautiana na muhusika iyo milioni 500 uliyoitaja wewe ni pesa ya mbuzi tu kwa binti wa bakhresa kwaiyo labda ungejisema kwako binafsi ni hela ndogo ila kiuhalisia kuna wengine ambao ilo dau lililotangazwa ni kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…