Anataka kurudi baada ya kukimbilia kwao

Nimescreenshoot wazo zuri
 
We ni mwanaume?

Mwanamke akishakimbilia kwao achana naye.

Kama angekuwa na lengo zuri angekimbilia kwenu.,
 
Sababu alishanipakazia kwa maneo ya uwongo kwa familia yake na wakamuamini mpaka anarudi kwao akuna ata mmoja alieniuliza what happen ila walikaaa kimya na kumpokea hiyo situation inaniumiza kichwa
Hayo maneno hujapakaziwa ndio ukweli,na ndio udhaifu wako maana kama ingekuwa sio,basi hilo ni la wewe kusimama kiume na kusonga mbele mwanaume hajaumbwa kwajili ya KE bali KE kwajili ya ME
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…