Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
KAma kaamua watoto wasome kayumba sasa Olympio pa nn tena kuwasumbua watoto kila siku kwenda mjini.Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule
Maoni na ushauri wako please
Oooh hivi huko Temeke sijui Chanika hkn Hz shule za EM za serikali?Amejenga chanika ni maamuzi tu anataka watoto wake wawe kwenye system ya government plus anapunguza matumizi ya sio ya lazima
Ipo moja Chanika inaitwa Gogo kuanzia la kwanza hadi la 3. La 4 kwenda juu ni kiswahiliOooh hivi huko Temeke sijui Chanika hkn Hz shule za EM za serikali?
Kayumba za kiingereza ni chacheKAma kaamua watoto wasome kayumba sasa Olympio pa nn tena kuwasumbua watoto kila siku kwenda mjini.
Atafute kayumba iliyo karibu na kwake
Oooh ndio inaanza sioIpo moja Chanika inaitwa Gogo kuanzia la kwanza hadi la 3. La 4 kwenda juu ni kiswahili
African people always think negative. Mimi siwezi kulipa pesa shule ya msingi mwanangu anasoma Kayumba nzuri ya kiswahili mazingira mazuri karibu na ninapo ishi.baada ya kumtoa mtoto wako ems na kumpeleka kidumu na mfagio sasa unajaribu namna ya kutafuta nafasi kayumba iliyochangamka, sasa ninawaelewa vizuri kwanini mnapinga ems.
Olympio ina miundombinu bora kabisa na ni english medium. Yani ilipaswa shuke zote za serikali kuwa kaka olympioMnajitungia tu thread kujipa milage
Atoke private ahamie government school? Acheni kutunga nyuzi bila kutumia akili.
Sijui mna hasira gani na English Medium schools
Mm nmepata nafas hapo mwanangu ameingia grade 1 nmepata nafasi kumpitia anko wangu japo niliwapoza kidogoNi sh ngapi kutoa nafasi? Wanakuwaga na fixed price au ushawishi wako?
Shule Ina wanafunzi wengi?
Kwani haiwezekani kutoka private kuhamia government school nigeshangaa kama angetoka international school kuhamia government schoolMnajitungia tu thread kujipa milage
Atoke private ahamie government school? Acheni kutunga nyuzi bila kutumia akili.
Sijui mna hasira gani na English Medium schools
Muhimbili primary nao ni English Medium?
Asante kwa taarifaSijui kwann umefikilia kuwahamishia watoto wako olympio mimi ni mkazi wa upanga kijana wangu shule ya awali alisoma daniel mihan ni shule ya masista ipo karibu na muhimbili darasa la kwanza nikampeleka hapo olympio kwa kweli alirudi nyuma sana kitaaluma mpaka ikabidi nimtoe hapo fikiria wakati yupo awali alikua anaweza kusoma na kuandika alivyoingia hapo kila kitu kikawa kama ndio yupo shule ya awali watoto ni wengi hata tabia yake ikabadilika ilibidi ni mtoe.
Hongera Sana ulilipa sh ngapi?Mm nmepata nafas hapo mwanangu ameingia grade 1 nmepata nafasi kumpitia anko wangu japo niliwapoza kidogo
Kuna apartments maeneo ya hapo upanga.ni sehemu ya kutembea tu kufika shule. Ila bei inaweza kuwa mara mbili ya ada ya huko private alikowatoa watotoKinondoni,magomeni na ,Upanga
aovu yote mabaya unayoyajua wewe huwa yanaanzia Kinondoni na Magomeni kisha yanasambaa kuelekea maeneo mengine kwa hiyo hapo akili kumkichwa.Kinondoni kumekaaje kwa malezi ya watoto?
Bora msasani au OysterbayM
aovu yote mabaya unayoyajua wewe huwa yanaanzia Kinondoni na Magomeni kisha yanasambaa kuelekea maeneo mengine kwa hiyo hapo akili kumkichwa.
Ila kuna maeneo mengine pia kama Oysterbay,Msasani na Kigamboni sio mbali na town kwa hiyo fikiria mara mbili.
Kumbe unakandiaga English Medium, watoto wako wanaosoma English Medium sio kayumba, hii JF hii.Mwambie apange Kinondoni Mkwajuni.
Mimi watoto wangu pia niliwatoa private nikawaleta Olympio.
Naishi nao Mkwajuni.
Olympio ni kayumbaKumbe unakandiaga English Medium, watoto wako wanaosoma English Medium sio kayumba, hii JF hii.