Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Sisi tunachotaka ni mzunguko wa pesa utufikie sisi walalahoi na makambela. Hayo mengine tunakuachia mwenyewe. Kama wewe hutompigia kura eti kwasababu raisi ameruhusu pesa mtaani,sisi tutampigia kwa kishindo 2025. WEWE NI HASIDI KAMA MAHASIDI WENGINE NA SIKU ZOTE HASIDI HANA SABABU. Tunampenda raisi wetu na tuko tayari kukpigania kwa nguvu zote.
 
Melo huu ni wakati wa kusaidiana na huyu mama kumpatia taarifa za Hawa wanafiki wasiopenda kuona haki,uhuru,uwazi,usawa na mengine mama kutamalaki kwenye taifa letu, pia mama ukitenda mema hata kesho ukagombea kupitia chauma watanzania tutakuchagua,Hawa wanaccm baadhi wameanza kututisha samia sana naomba fahamu kwamba tanzania si ccm. WEMA NO AKIBA KWA AJILI YA NAFSI YAKO NA MAISHA YAKO BAADA YA HUU URAISI ambao ni kiti la kuazima
 
Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Malizia msiba!
 
Kwa hiyo wewe ndo unataka unitangulize mbinguni kwa kunishughulikia siyo??

Kosa lenyewe ni kutoa maoni kinzani na yako siyo, umejipa kazi ya kishetani kiasi hiko siyo??

Teh! teh! tehe!!
Wangapi utawaondoa duniani Kwa kuwa tofauti na wewe,?
Mkuu hatuna haja ya kulumbana na kuitana wauwaji. Kikubwa tu Mama kachukua nchi. Na Nchi iko salama. Tuendelee kufurahia neema hii.
 
Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Sisi wapinzani kwa sasa tunamuunga mkono Mama Samia hassani. Kama roho inakuuma kunywa sumu.
 
Ana wiki kadhaa tu ila watu wameshaanza kuidharau taasisi ya urais kuwa kapigiwa simu na so called wawekezaji ikulu...wamemtest na ameshatestika...
 
Utawala wa JK nauona tayari, na nchi itarudi kuwa mashimo kama ataruhu madini yachimbwe hata kwenye hifadhi za wanyama[emoji35]
 
Kaka unaonekana ni masikini ambaye hujazoea raha. Yaani unajiskia hatia kuona nchi imeanza kwenda kiulaini na watu wameanza kupata furaha na faraja. Maendeleo sio lazima mkunjiane sure na kukasirikiana muda wote. Relax brother


Man Mama kweli anaweza kuleta raha kwa watu wachache ila at expense ya walio wengi,yaani kuna baadhi wanaishi kama wapo peponi kwa njia za kufisadi nchi, lakini watu huko vijijini hawana hata maji ya kunywa au vituo vya afya!!
 
Back
Top Bottom