Sayyid Khalifa
Senior Member
- Jun 8, 2018
- 113
- 217
Sasa mnatakaje nyie mbulula wa lumumba?tulipinga mkasema tunapinga kila kitu,leo kusifia mama imekuwa nongwaa,ebu na nyie mkue bhna khaaaWanasaccos ni rahisi sana kuwadanganya. Eti sasa sijui wanaona Mama Samia anatekeleza sera za Saccos ya Chadema!!
Malizia msiba!Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Mkuu hatuna haja ya kulumbana na kuitana wauwaji. Kikubwa tu Mama kachukua nchi. Na Nchi iko salama. Tuendelee kufurahia neema hii.Kwa hiyo wewe ndo unataka unitangulize mbinguni kwa kunishughulikia siyo??
Kosa lenyewe ni kutoa maoni kinzani na yako siyo, umejipa kazi ya kishetani kiasi hiko siyo??
Teh! teh! tehe!!
Wangapi utawaondoa duniani Kwa kuwa tofauti na wewe,?
Umefiwa kweli kweli!Wanasaccos ni rahisi sana kuwadanganya. Eti sasa sijui wanaona Mama Samia anatekeleza sera za Saccos ya Chadema!!
Sisi wapinzani kwa sasa tunamuunga mkono Mama Samia hassani. Kama roho inakuuma kunywa sumu.Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Kama roho inakuuma kunywa sumu.Wanasaccos ni rahisi sana kuwadanganya. Eti sasa sijui wanaona Mama Samia anatekeleza sera za Saccos ya Chadema!!
Hahaha!wakereee tu mkuu,walijiona miungu watu humuUnaweza kunionyesha ni ukurasa wa ngapi wa ilani ya ccm umetaja kuwa chato ujengwe uwanja wa ndege?
Any way mama atatawala hadi 2035 ,atake asitake tutamlazimisha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katiba sio msaafu
Mpaka kwenda zake awatoke kwenye vichwa vyenu, mtakuwa mmeshakuwa vichaaVipi umehama toka Saccos ya Chadema umerudi CCM sasa mkuu? Karibu sana kwenye Chama Dume!!
Upumbavu ni mzigo.Kazi Inaendelea mkuu! Nyinyi ndiyo mtakoma hata hiyo saccos yenu ipo hatarini zaidi.
Wewe kigwangala acha unafiki zama hizo zimepita some alama s nyakati
Kaka unaonekana ni masikini ambaye hujazoea raha. Yaani unajiskia hatia kuona nchi imeanza kwenda kiulaini na watu wameanza kupata furaha na faraja. Maendeleo sio lazima mkunjiane sure na kukasirikiana muda wote. Relax brother
Mtasubiri sana!Muda utaongea.