Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Majority of Tanzanians are not only tired but they are ignorant.Mkuu
Umeuliza maswali ya maana sana ila watakupuuza; lakini watanzania wakiungana na kupaaza sauti kama walivyofanya kwenye TOZO naamini watashituka na kughushi majibu kuyaleta kwenye hadhira.
*Tanzanians are entirely tired of public funds embezzlement without seeing collective accountability in practice...
The leadership led by CCM, government and Mafisadi na wapiga dili are all exploiting that with great speed now before 2025.
Ni kama vile yule character wa comic aitwae Mongul ambae kuna siku alikuja kumshambulia Superman ambae alikuwa alisherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Superman alipoishiwa nguvu Mongul akamchoma sindano yaitwa Black Mercy yenye sumu inayokukula kidogokidogo huku ikikudhoovisha nguvu zako.
Hivyo superman akawa hana nguvu za kupigana na Mongul akapata nafasi ya kujitengenezea dunia aitakayo yeye.
Hali hiyo ndiyo ilowakumba watanzania kwa sasa wanadungwa sindano za tozo za mialamala na zingine kama za mitandao zaja.
Sanasana twaishia kupiga kelele na kuandika kwa kasi kwenye keyboard kisha yanasomwa na maisha yanaendelea.
Nguvu za kuhimili sindano zimeisha.