Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mkuu

Umeuliza maswali ya maana sana ila watakupuuza; lakini watanzania wakiungana na kupaaza sauti kama walivyofanya kwenye TOZO naamini watashituka na kughushi majibu kuyaleta kwenye hadhira.

*Tanzanians are entirely tired of public funds embezzlement without seeing collective accountability in practice...
Majority of Tanzanians are not only tired but they are ignorant.

The leadership led by CCM, government and Mafisadi na wapiga dili are all exploiting that with great speed now before 2025.

Ni kama vile yule character wa comic aitwae Mongul ambae kuna siku alikuja kumshambulia Superman ambae alikuwa alisherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Superman alipoishiwa nguvu Mongul akamchoma sindano yaitwa Black Mercy yenye sumu inayokukula kidogokidogo huku ikikudhoovisha nguvu zako.

Hivyo superman akawa hana nguvu za kupigana na Mongul akapata nafasi ya kujitengenezea dunia aitakayo yeye.

Hali hiyo ndiyo ilowakumba watanzania kwa sasa wanadungwa sindano za tozo za mialamala na zingine kama za mitandao zaja.

Sanasana twaishia kupiga kelele na kuandika kwa kasi kwenye keyboard kisha yanasomwa na maisha yanaendelea.

Nguvu za kuhimili sindano zimeisha.
 
Umetolea mfano Rwanda ukiwa hujui kuwa Rwanda ndo nchi ya kwanza kufanya hiyo program ya Royal Tour kwa Africa Mashariki.

Kwa Taarifa yako idea ya Visit Rwanda ilikuja baada ya Kagame kuendesha iyo program ya Royal Tour




Alisikika mmoja na aliyoongea ni Kweli



Kipindi hichi Mr Slim alihusika
Huo upigaji si uliwahi kufanywa kwenye ile ghorofa ya nne na J Pinto akapiga pesa ndefu sana?

Tena walikwenda huko Ukerewe kama sikosei.

Hizi tour si ni idea tu kutoka kwa wapigaji?

Au umesahau?
 
Ni kama maajabu mapya ndani ya taifa , Rais anakazana kuibrand nchi na kuacha mamlaka husika kufanya kazi zake , serikali ina wizara yenye dhamana , wizara ina Bodi maalum ya Kutangaza Utalii ndani na nje ya nchi , serikali ina mabalozi karibia asilimia 80 ya mataifa duniani , taifa lilipata Uhuru mwaka 1961 ambapo ikifika disemba mwaka huu wa 2021 taifa litakuwa na miaka 60 ya Uhuru wake wa kupeperusha Bendera , umri wa miaka 60 sio umri mdogo duniani ,Rais kadanganywa na wapiga dili eti anaibrand nchi kama vile nchi haijulikani kuanzia jiografia yake mpaka uhuru wake , utamduni wake, yani ukisikia nchi imekamatwa na wapiga dili ndio sasa.

Hivi wenzetu wa nchi ya Rwanda ndio wanaibrand nchi yao hivyo jamani , kwanini majasusi wetu wa uchumi wasiige hata hapo Rwanda jamani , mbona Rwanda wametoka katika taswira mbaya ya nchi yao lakini leo branding yao ni kimataifa duniani kote , mfano juzi hapa wakati mchezaji maarufu duniani Leon Messi alipoamia timu nyingine Rwanda walifanya ujasusi wao mbele ya dunia na ile kaulimbiu yao ambayo ni fupi tu inasema "VISIT RWANDA" yaani dunia ilisimama kuangalia Messi kapewa jezi namba ngapi katika kikosi kipya alipogeuka tu wakakuta maneno ya VISIT RWANDA, jamani hizi vitu zinatengenezwa na wazalendo , tatizo la watanzania tunawaza ujinga tu kuanzia ngazi Usalama wa Taifa mpaka chini hakuna cha uzalendo zaidi ya dili tu.

Sasa mtu unajiuliza hivi hili taifa tangu lianze kushiriki katika mambo mbalimbali ya duniani tangu lilipozaliwa bado tu haina special branding yoyote , mabalozi wanafanya nini sasa ? wizara ya utalii inafanya nini sasa? Bodi ya Utalii inayotumia mamilioni ya kodi za watanzania inafanya nini sasa? hivi ni kweli katika juhudi zote zilizofanyika hapo awali ni sawa na zero na tunaamini kuwa hiyo documentary ya mama Samia ndio itafanya branding ya taifa , hivi kweli watanzania tumefikia upeo huo wa kufikiri?

Nauliza tena hivi ni kweli kuwa Mama Samia akitoa hiyo Movie yake taifa ndio litajulikana na uchumi wa taifa kuongezeka na wawekezaji wataongezeka? huu ushauri kapewa na nani jamani ? alafu watu wanaoitwa Usalama wa Taifa wapo tu kuangalia ni kama hawajijui kuwa nao wanamajukumu ya kuangalia mikakati na dira ya kitaifa , ukisikia hovyo ndio hii , wale think tanker wa taifa nao wameafiki kuwa Movie ya Mama itatutoa kiuchumi na kimataifa... eee mungu tusaidie ... hii style ya branding inatokea wapi ...
Nchi yenye Ugaidi!, tena ulioatamiwa na chama tawala, subutu! #gaidiHamza ccm
 
Kwanza tujue ana umaarufu na mvuto wa kiasi gani kidunia, kitaifa na kimataifa.?

Na je umaarufu huo ulikuwepo na je utaendelea kuwepo mathalani akifa leo au akimaliza muda wa urais?

Au hiyo film ni temporary.? Au ukosefu wa kazi za msingi ikiwemo ubunifu na ufuatiliaji wa miradi ya kitaifa.?

Au ndio mama keshaanza kujichokea na kuamua kujipa bata kwa staili hiyo.?

Hivi lile tangazo alilozindua JK wakati anamaliza muda wake lililotengenezwa kwa mabilioni ya shilingi liliishia wapi? Nakumbuka alikuwa anaisifia malaysia na tangazo lao la trully malaysia wakati wa uzinduzi.
 
Huo upigaji si uliwahi kufanywa kwenye ile ghorofa ya nne na J Pinto akapiga pesa ndefu sana?

Tena walikwenda huko Ukerewe kama sikosei.

Hizi tour si ni idea tu kutoka kwa wapigaji?

Au umesahau?
Inaweza kuwa
 
Huyu na yule muuza sura aliyekuwa anapenda kuzindua kila kitu hadi vyoo vya stendi bora nani? Kama huna cha kuandika baki na mavi yako.
 
Ni kama maajabu mapya ndani ya taifa , Rais anakazana kuibrand nchi na kuacha mamlaka husika kufanya kazi zake , serikali ina wizara yenye dhamana , wizara ina Bodi maalum ya Kutangaza Utalii ndani na nje ya nchi , serikali ina mabalozi karibia asilimia 80 ya mataifa duniani , taifa lilipata Uhuru mwaka 1961 ambapo ikifika disemba mwaka huu wa 2021 taifa litakuwa na miaka 60 ya Uhuru wake wa kupeperusha Bendera , umri wa miaka 60 sio umri mdogo duniani ,Rais kadanganywa na wapiga dili eti anaibrand nchi kama vile nchi haijulikani kuanzia jiografia yake mpaka uhuru wake , utamduni wake, yani ukisikia nchi imekamatwa na wapiga dili ndio sasa.

Hivi wenzetu wa nchi ya Rwanda ndio wanaibrand nchi yao hivyo jamani , kwanini majasusi wetu wa uchumi wasiige hata hapo Rwanda jamani , mbona Rwanda wametoka katika taswira mbaya ya nchi yao lakini leo branding yao ni kimataifa duniani kote , mfano juzi hapa wakati mchezaji maarufu duniani Leon Messi alipoamia timu nyingine Rwanda walifanya ujasusi wao mbele ya dunia na ile kaulimbiu yao ambayo ni fupi tu inasema "VISIT RWANDA" yaani dunia ilisimama kuangalia Messi kapewa jezi namba ngapi katika kikosi kipya alipogeuka tu wakakuta maneno ya VISIT RWANDA, jamani hizi vitu zinatengenezwa na wazalendo , tatizo la watanzania tunawaza ujinga tu kuanzia ngazi Usalama wa Taifa mpaka chini hakuna cha uzalendo zaidi ya dili tu.

Sasa mtu unajiuliza hivi hili taifa tangu lianze kushiriki katika mambo mbalimbali ya duniani tangu lilipozaliwa bado tu haina special branding yoyote , mabalozi wanafanya nini sasa ? wizara ya utalii inafanya nini sasa? Bodi ya Utalii inayotumia mamilioni ya kodi za watanzania inafanya nini sasa? hivi ni kweli katika juhudi zote zilizofanyika hapo awali ni sawa na zero na tunaamini kuwa hiyo documentary ya mama Samia ndio itafanya branding ya taifa , hivi kweli watanzania tumefikia upeo huo wa kufikiri?

Nauliza tena hivi ni kweli kuwa Mama Samia akitoa hiyo Movie yake taifa ndio litajulikana na uchumi wa taifa kuongezeka na wawekezaji wataongezeka? huu ushauri kapewa na nani jamani ? alafu watu wanaoitwa Usalama wa Taifa wapo tu kuangalia ni kama hawajijui kuwa nao wanamajukumu ya kuangalia mikakati na dira ya kitaifa , ukisikia hovyo ndio hii , wale think tanker wa taifa nao wameafiki kuwa Movie ya Mama itatutoa kiuchumi na kimataifa... eee mungu tusaidie ... hii style ya branding inatokea wapi ...
Barozi ni mtu asiefaa Kwa Nafasi au uaminifu ndyo maana hutupwa barozi nchi frani Kwa Tz lakini ,ukibahitika kufahamu maana ya maneno ,security intelingence au security services haya NI maneno 2 tofauti yenye maana tofauti .UKWELI NI KWABA TUPO KATIKA WAKATI MGUMU SANA TENA SANA .KILA MMOJA KWA IMANI YAKE TUSALI SANA
 
Ni kama maajabu mapya ndani ya taifa , Rais anakazana kuibrand nchi na kuacha mamlaka husika kufanya kazi zake , serikali ina wizara yenye dhamana , wizara ina Bodi maalum ya Kutangaza Utalii ndani na nje ya nchi , serikali ina mabalozi karibia asilimia 80 ya mataifa duniani , taifa lilipata Uhuru mwaka 1961 ambapo ikifika disemba mwaka huu wa 2021 taifa litakuwa na miaka 60 ya Uhuru wake wa kupeperusha Bendera , umri wa miaka 60 sio umri mdogo duniani ,Rais kadanganywa na wapiga dili eti anaibrand nchi kama vile nchi haijulikani kuanzia jiografia yake mpaka uhuru wake , utamduni wake, yani ukisikia nchi imekamatwa na wapiga dili ndio sasa.

Hivi wenzetu wa nchi ya Rwanda ndio wanaibrand nchi yao hivyo jamani , kwanini majasusi wetu wa uchumi wasiige hata hapo Rwanda jamani , mbona Rwanda wametoka katika taswira mbaya ya nchi yao lakini leo branding yao ni kimataifa duniani kote , mfano juzi hapa wakati mchezaji maarufu duniani Leon Messi alipoamia timu nyingine Rwanda walifanya ujasusi wao mbele ya dunia na ile kaulimbiu yao ambayo ni fupi tu inasema "VISIT RWANDA" yaani dunia ilisimama kuangalia Messi kapewa jezi namba ngapi katika kikosi kipya alipogeuka tu wakakuta maneno ya VISIT RWANDA, jamani hizi vitu zinatengenezwa na wazalendo , tatizo la watanzania tunawaza ujinga tu kuanzia ngazi Usalama wa Taifa mpaka chini hakuna cha uzalendo zaidi ya dili tu.

Sasa mtu unajiuliza hivi hili taifa tangu lianze kushiriki katika mambo mbalimbali ya duniani tangu lilipozaliwa bado tu haina special branding yoyote , mabalozi wanafanya nini sasa ? wizara ya utalii inafanya nini sasa? Bodi ya Utalii inayotumia mamilioni ya kodi za watanzania inafanya nini sasa? hivi ni kweli katika juhudi zote zilizofanyika hapo awali ni sawa na zero na tunaamini kuwa hiyo documentary ya mama Samia ndio itafanya branding ya taifa , hivi kweli watanzania tumefikia upeo huo wa kufikiri?

Nauliza tena hivi ni kweli kuwa Mama Samia akitoa hiyo Movie yake taifa ndio litajulikana na uchumi wa taifa kuongezeka na wawekezaji wataongezeka? huu ushauri kapewa na nani jamani ? alafu watu wanaoitwa Usalama wa Taifa wapo tu kuangalia ni kama hawajijui kuwa nao wanamajukumu ya kuangalia mikakati na dira ya kitaifa , ukisikia hovyo ndio hii , wale think tanker wa taifa nao wameafiki kuwa Movie ya Mama itatutoa kiuchumi na kimataifa... eee mungu tusaidie ... hii style ya branding inatokea wapi ...
Sasa mzee wewe unaitwa mew covid unataka wewe ndiyo uzurure kama nani?tuliza nyege mzee huyo ni Rais huwezi kishindana nae sana sana utabeneshwa mimba tu,ukiona inauma acha kulipa kodi kama mimi,teh!!
 
Heee..huo ndo ubunifu shekhe! Uwiii...kachokaaaaa...to hell
Naona mkiappreciate visit rwanda nyuma ya flana ya messi sijui mnadhani ni bilion ngapi zimetosha kufanya hivyo lakini impact yake ikoje
Mama huwenda asitumie kiasi hicho lakini kukawa na impact kubwa zaidi kwa kuwa wataiona Tanzania kwa jicho lingine wasilolifahamu

Naamini aliyetoa hili wazo la mama kutangaza utalii ni genius


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Una uhakika kuwa hiyo royal tour dunia inaiamgalia?
Unajua rais wa nchi anafuatiliwa kiasi gani
Ukitafuta mambo yanayohusu Tanzania mtandaoni lazima habari za rais zitokee pale hapo ndani unaikuta royal tour ni idea kubwa sana na hii ni yakwetu siyo kuigaiga

Tatizo letu watanzania tunakubali vya wenzetu vyetu hatuvipendi ingefanywa jirani hii ungeona ambavyo mngejitoa akili
Na kuwaona hao ndiyo wenye akili




Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Barozi ni mtu asiefaa Kwa Nafasi au uaminifu ndyo maana hutupwa barozi nchi frani Kwa Tz lakini ,ukibahitika kufahamu maana ya maneno ,security intelingence au security services haya NI maneno 2 tofauti yenye maana tofauti .UKWELI NI KWABA TUPO KATIKA WAKATI MGUMU SANA TENA SANA .KILA MMOJA KWA IMANI YAKE TUSALI SANA
Elezea utofauti na undani kidogo
 
Mama anafanya uzuri.
Baada ya kungana Tanganyika na Zanzibar Library za huko duniani zilibaki na lundo la vitabu vinavyojisomo kuwa Tanganyika ipo East Afrika kumbe ilishapoteza jina na kuitwa Tanzania.

Tanzania ina rasilimali nyingi lakini haijjlikani.
Huko nje watu wa Kawaida hawaijui Tanzania.
Zanzibar inajulikana mana historia yake haikuchakachuliwa sana.

Acheni mama aitangaze nchi.

Matumizi mabaya hata Magufuli na ukali wake alipigwa changa la macho.
Watu wakanunua mpaka nguo hewa kwenye wizara ya mambo ya ndani chini ya Kangi Lugola.

Magari ya milioni 400 yananunuliwa na yale ya mil. 180 yanauzwa mil. 5.

Magari yaliyonunuliwa mil. 80- 100 yapo juu ya mawe yanapewa bajeti ya mafuta kila mwezi watu wanakwenda kula bata.
Mama amekuta maadili ya watanzania bara ambao wengi wao ni zao la vyeti feki na wizi wa mitihani yapo chini sana. Wengi wa Watanzania Bara wanaibia nchi wapate pesa za ngono na ulevi.

Nchi ina watumishi 90 % wasio na maadili mazuri kuanzia kwenye familia siasa mpaka kwenye dini.
Mimi nimegundua nchi haitangazwi kwa staili hiyo ya kutumia mapesa na kujipromote bali inatangazwa kwa uongozi bora na wenye misimamo kama alivyofanya Magufuli.
Hili nilikuja kuligundua baada ya kusafiri nchi za mbali nikikutana na Wazungu pamoja na Waasia wakiniuliza "Which country are coming from?nikiwajibu I am from Tanzania utawasikia"Wow Tanzania you had a very good president(Magufuli) and it is the only country in the world that enabled to combat Covid 19 without lockdown and disagreed the order from America to use vaccine,but they assasinated him by the way you lost a very genius president"
So kiufupi nchi yetu imekuwa maarufu sana kupitia matendo ya Magufuli na sio kujitangaza kwa kupiga makelele ni kazi bure.
 
Barozi ni mtu asiefaa Kwa Nafasi au uaminifu ndyo maana hutupwa barozi nchi frani Kwa Tz lakini ,ukibahitika kufahamu maana ya maneno ,security intelingence au security services haya NI maneno 2 tofauti yenye maana tofauti .UKWELI NI KWABA TUPO KATIKA WAKATI MGUMU SANA TENA SANA .KILA MMOJA KWA IMANI YAKE TUSALI SANA
Hapo kwenye hayo mawili unahitaji kupaelezea kidogo ongezea nyama mkuu.

Hayo maneno mawili ndo hutumiwa uzuri na mataifa yenye viongozi welevu.

Katika Afrika Rwanda amefanikiwa kwa hilo na ataendelea kupaa kiuchumi.

Watanzania tumeambiwa tuna kila kitu ila kutumia akili za ziada kwenye hayo mambo mawili ndo kumetushinda.
 
Inashangaza Sana. Mtu alikua jirani na magufuli wakati wote anaitisha vikao mbali mbali ikulu kuzungumzia jinsi nchi inapigwa na wala rushwa na wawekezaji wanavyokwepa Kodi miaka na miaka toka tupate Uhuru [emoji31][emoji31][emoji31].... Chakushangaza zaidi anaingia ikulu yale yale aliyokuwa anapigia kelele mwenzake yeye ndio ameyaachia yaendelee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]. Hivi kama si Ajabu kubwa zaidi duniani unadhani ni nini???
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom