myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Sio kweli....Mkuu upo sahihi sana,ndio maana nasema Mama hana uwezo wowote kiuongozi hana maono,hana misimamo ,ni mtu wa kuangalia upepo unaendaje kwenye mitandao, na kwa style yake hii anaenda kufeli vibaya!!