Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hata kuandika hujui eti nawewe una doubt uwezo wa Rais!?Naunga mkono hoja.
MAMA HANA UWEZO NA ame peove falier
CCM mnahaha sana. Naona mlizoea vya kunyonga kwa miaka mitano sasa vya kuchinja vinawasumbua[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Kabisa mkuu.Muda utaongea.
He is just a clown 😂We mtu mbona umemsakama mama una ugomvi nae?
Time for Tanganyikans to rise and make sure that nothing like this constitutional accident ever happens again."New Project Behind the Scene"
Unakosea jina Mkuu; siyo mwendazake Bali Ni mwendasakeHawezi mzidi yule mwenda zake kwa sifa dah
Hahahaaha Mataga umechanganyikiwa na kupaniki,kweli mpira pasi aiseee.Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Umepaniki TagaWanasaccos ni rahisi sana kuwadanganya. Eti sasa sijui wanaona Mama Samia anatekeleza sera za Saccos ya Chadema!!
Hahahahaha Mataga hakuna rangi mtaacha kuona safari hii.Ungemwbia niliyem-quote au ni wewe?
Naona wewe unavurugwa akili na jambo moja tu: "MIRADI".Ndio tunachotaka atekeleze miradi tutampa kura tofauti na hapo tutamfurusha yeye na CCM yake