Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Ajenda zikapitishiwe bungeni, bunge hili hili la majizi ya kura? Hata sasa ajenda za watu tulikuwa tunaziona zikipita huko huko bungeni, ama umesahau ajenda ya kuchezea katiba? Halafu kama unadhani ni rahisi mtu kuwa na account kumi, hebu ww kuwa hata na account 2, kisha changia na hizo account 2 uone kama utakuwa na ajenda zozote za maana.

Mnaleta vitisho maana mlikuwa mnafaidika na jamaa aliyeondolewa na Mungu, na hamna uhakika wa mlo wenu utawala huu. Ule ukatili mliokuwa mkiuendesha hapa nchini kwa kisingizio cha uzalendo, sasa umefikia mwisho.
 
Huyo ndiye raisi wa nchi hiyo cheap popularity inaingiaje?
Mkitaka msitake yeye ndiyo kiongozi mkuu wa nchi na ndiye aliyeachiwa hatamu ya uongozi, mbona aliyepita kuna miradi aliiwacha hivyo hivyo? Tuwe na subira, kwani yeye hajatoka upinzani ni kiongozi wa CCM ileile na ilani ileile kinachotofautiana ni utendaji tu. Ukizingua unazinguliwa.
Hawa wamesahau kuna miradi iliachwa tena kwa kejeli,bomba la gas mtwara,bandari bagamoyo,yaani full ubabe ilikuwa,zamu Yao sasa kulialia..
 
Ilani si kitu.
Enzi za JK mlisema "maisha bora kwa kila mtanzania",je ilifanikiwa.

Muacheni mama atekeleze atakayoweza cha msingi Haki, Uhuru na maendeleo ya watu.
 
Mama Samiaq anajitahidi kufuata katiba ya nchi hii kama ilivo na sio kufanya anavotaka yeye, Samahani lakini JPM alifuata utashi wala hakujali katiba. Sasa ukipendezwa na utashi ukapata mtu anafuata katiba lazima utalalamika. Sasa basi, katiba ya nchi sio mapendekezo ya chama. Ikiwa mapendekezo ya chama yanapingana na katiba, unafuata katiba na ndio sababu Bashiru (msomi) anajikuta back bench...
 
Mimi kwa kweli nimeshakata tamaa..

Marehemu POMBE amefanya lipi la kukumbukwa? Kwann usijiulize kwann watanzania wamemshahau mapema kiasi hiki?.
Hii nchi imejitemegea lini bila kutegemea nchi wahisani? Wewe ni lofa Tu uliyeishiwa mipango, MUNGU aliyemwondoa magufuli ndiyo anajua na ndiye aliyepanga haya yote
Hawakujua hats ule umati kumuaga Kuna watu walijawa na furaha kupinfukia ...usicheze na bins adamu
 
Sema nitakunyima syo tutakunyima kura, wewe na nani?
Amesema ukweli mtupu maana hyo miradi ni hewa ukilinganisha na kipato.
Marehemu aliiba hela ktk acc za watu kufanyia miradi huyu mama hataki unyanganyi. Anajua wazi hatuna hizo pesa
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
 
Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Huna lolote, wewe ni shabaki wa udikteta.
 
Mimi namshauri tu Rais afanye maamuzi kwa manufaa ya Taifa that is all.
 
Sasa hivi anaamua ya kwake kwa sababu wakati wa Baba Mama hakusikilizwa ushauri wake kwa hiyo mumuache kabisaa awafanyie kazi watu,,besides sasa hivi watu wanahitaji faraja kwanza kwa maisha walopitia hapo nyuma



Nawasilisha
You nailed it down mkuu
 
Mimi namshangaa sana Mama.....cheap popularity itammaliza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Taga mbona umekata tamaa mapema hivi, kama mama anatafuta cheap popularity je Jiwe alikuwa anatafuta nini?
 
Wale tuliokua tunawaita nyumbu naona sasa ndo wako na mama. Maneno yao ya kejeli na ushabiki tu. Kinachonisikitisha hakuna chama cha upinzani serious ila kama kitakuja kuwepo ntakupigia kura za hasiraaaa
Sidhani kama kuna chama cha upinzani kinachotaka kura yako, kura yako inastahili kwenda kwa Jiwe ila ndiyo hivyo tena kaishasepa hivyo mpigie kura Gwajiboy.
 
Mkuu samahani Naomba Unifafanulie Sikusikiliza Hotuba Yake,
Unaposema Miradi Mingine ipo Kwenye Makaratasi Una maanisha Nini?
Yaani Stiegliers iachwe?
Au Kuna Miradi Mingine inakuja Ipo Ktk Makaratasi Au hii iliopo ipo kwwnye Makaratasi tuu?
Nifafanulie Mkuu Ahsante!
Mbona umeme wa gas na bandari ya Bagamoyo iliachwa, nini Stiegliers bhana, wewe pambana na hali yako tu.
 
Moyo hauna furaha kbs nikikumbuka hayati dkt Jpm hatunae tena,,,, hakika tz itakukumbuka daima itatugharimu sana mpaka kuja kupata kiongozi wa calibre yako
 
Back
Top Bottom