Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Awamu zote za marais dizaini ya mama nchi huwa inayumba kwanza, ajae atarekebisha. Baba wa taifa alijenga misingi, akaja mzee ruksa akaivuruga hadi kuhonga mbuni wa ikulu. Mkapa akaijenga misingi upya na kuweka pato la taifa angalau. Kijana wa msoga akakomba mboga zote, tukabaki na ugali dona kavu. Magu kajaribu kurekebisha kwa nguvu, njia ikaanza kuonekana. Mama hajamaliza hata mwezi, mwelekeo umeanza kupotea.

Twende tutakakopelekwa.
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Nyie mmeshakuwa affected kisaikolojia(psychology) mmezoea kugombezwa na kutushiwa. Huku kubembelezwa hamkuwezi na ndio democrasia hii
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Mwache mama afanye kazi, nyie watu wa mwenda zake mna visirani kama yeye alivyokua
 
Hili la kupata wapinzani ndani ya CCM linafikirisha, natumai na kina ndugai na msukuma wako katika underground movement ' tumerudi kwenye siasa tulioizoea
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Mara paap mh raisi imekuwa huyu mama !!?? Nonsense sukuma cartel .lumumba jobless corner
 
Anataka kutupeleka uchumi wa juu kutoka uchumi wa kati chini
 
Dah....Mama ameanza vibaya kiukweli...amekuwa na haraka sana...na taarabu nyingi....angekuwa hakuwepo kwenye utawala wa JPM ningemuelewa...
Nikionacho mbele....ni rushwa kurudi kwa kishindo kati ya wafanyabiashara na TRA....Kupungua kwa makusanyo ya Kodi....Serikali kuyumba kwenye misimamo.....taarabu nyingi....mwishowe turudi utumwani Misri...[emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio tunachotaka atekeleze miradi tutampa kura tofauti na hapo tutamfurusha yeye na CCM yake
Vijana nyie wa kizazi hiki? eti tutamfursha na ccm yake? mna hizo guts?
wabongo jinsi walivyo waoga wakitishiwa tu kidogo na polisi wanajifungia ndani.
Hamna lolote hapa
 
Back
Top Bottom