Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Usikilize vizuri aliswna nini
 
Na mm nimemuona anapenda sifa aka kiki kama hayati
Ila kiki zake huyu zimejaa upendo, na matumaini, tofauti na yule, ambaye kiki zake zilikuwa zimejaa chuki na ubabe!!na za kukatisha tamaaa!!!Mama shikilia hapo hapo, praise time, wana hali ngumu sana!!hawakutegemea kuliona hili, kwani walijiona ndio wenye haki na nchi hii!!!
 
Maslahi yake anajaribu kuyachungulia hata kwa tochi anashindwa kuyaona.
Hao ni wahuni wachache waliokuwa wanafaidika na nchi kwa kujifanya wazalendo kwa kumsia meko, na waliamini wataendekea kukamuua hivyo hivyo na jamaa kutoka ilikuwa asitoke hata muda wake ungefika, ndio hao ulikuwa ukiwasikia ATAKE ASITAKE"TUTAMUONGEZEA, sasa ghafla bini vuu kumbe Mungu naye ana lake, lazima wapagawe!!;hata siku hizi kwenye shughuri za kiserikali ukimtazama tu mzee wa safura(mwenzake na radio)hana raha kabisa , muda mwingi kama ana usingizi vile!!ila walio wengi tunaona mwanga mpya.
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
We hata akili ya kuendea maliwato huna!
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Umeongea kwa hisia ukaacha kwenda kwenye uhalisia.
Tuambie ni miradi ipi imekwama chini ya uongozi mpya wa rais Samia Suluhu. Maana mimi kwenye pita pita zangu nimeona mradi wa ujenzi wa barabara ya Kidatu- Ifakara unaendelea kwa kasi ya ajabu na rami ineshaanza kumwagwa.
Mradi wa SGR nao nimeona umeme umeshaanza kugungwa kwenye nguzo.

Anachofanya mama kwa sasa ni kuweka mambo sawa kwanza kutokana na uozo uliofanywa na mwendazake ikiwamo kutoruhusu vyombo mbalimbali kufanya kazi zake ndio maana unamsikia raisi akiwapa majukumu jopo la watalamu kufanya uchunguzi juu swala la Covid 19. Ndio maana unamsikia akitaka vyombo vya habari vifunguliwe na kuwe na uwazi juu ya sheria.

Hakuna maendeleo bila furaha, amani, utulivu, na haki kwa raia. Hivyo mama anarejesha utawala wa katiba na kuhrshimu mamlaka zilizokuwepo
 
Naona ni giza totoro, tena ni totoro hasa. Ile hotuba ya Jana ya Mbuga za wanyama kuanza kuchimbwa ghafla, mara vibali vya kazi, kwa kweli tumepotea tunarudi enzi za "UNANIJUA MIMI NI NANI,?" Mungu tunusuru na hiki kikombe kama itakupendaza.
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Mmeisha anza fitna zenu .
 
Mbona umeme wa gas na bandari ya Bagamoyo iliachwa, nini Stiegliers bhana, wewe pambana na hali yako tu.
Ikibidi tule hata majani miradi kama stigle,na Sgr lazima vikamilike maana ndio moyo wa maendeleo.

Kama huoni umuhimu wa hiyo miradi then check your self.
 
Ukitaka kujua hamna kitu hapo umemsikia hata kidogo akizungumzia rushwa?huyo mama baadae hata nyinyi mtamgeuka sababu kubwa upeo wake ni mdogo sana kwenye maamuzi pili ni mtu wa kutaka kumfurahisha kila mtu Yani mama huruma tatu nchi hii inamadudu mengi hatuwez kufika kwa kuchekeana na kubembelezana hatuitaji maneno mengi tunahitaj kazi na manedeleo
Rushwa imeibuka kipindi hiki tu au? mbona nyakati za JPM ilikuwepo ya kutosha tu? licha ya rais kukukemea laki bado walikuwa wanachukua rushwa tena kubwa kubwa.

kauli yake si ya kufurahisha kila mtu? ni kuwaleya watu karibu.
Yes madudu yapo, lakin haimaashi kuwa hatoweza ku deal nayo.
JPM mwenyewe alikuwa mzee wa kiki, na kundi fulan lilikuwa likimshangilia.

tumpe muda. si kuanza ku judge utafikiri alikuwa ex wako.
 
Baadhi ya kauli ambazo tumezisikia kutoka kwa Mama Samia na viongozi wengine fulani waliohudumu chini ya JPM zinaonesha kwamba hao viongozi walikuwa wanahubiri na kusimamia wasichokiamini. Kitendo hicho cha kuhubiri na kusimamia wasichokiamini kilikuwa unafiki na utovu mkubwa wa nidhamu kwa wapigakura wa nchi hii. Hili limenikumbusha hata ule utovu wa nidhamu ambao VP na PM waliuonesha wiki nne zilizopita kwa kuwapa wapigakura salaam hewa kutoka kwa Hayati JPM ilhali wakijua JPM alikuwa mahututi ndani ya ICU.

Katika utumishi, sio kitu cha ajabu kuwa na tofauti za kimtazamo juu ya jambo fulani. Hata hivyo, inapotokea kwamba VP au waziri anaamini tofauti za kimtazamo zilizopo kati yake na Rais, juu ya jambo hilo, ni kubwa sana na hazivumiliki endapo Rais atakataa ushauri wake, basi ni bora akajitenga na msimamo wa Rais kwa kujiuzulu.

VP au Waziri akishindwa kujitenga na kitu ambacho anaamini kinaumiza maslahi ya taifa, VP au waziri huyo anakuwa ameonesha udhaifu mkubwa sana wa kiuongozi. Kiongozi lazima awe na ujasiri wa kusimama upande wa haki hata kama kufanya hivyo maana yake ni kupoteza kazi. Vinginevyo, huyo hafai kabisa kushika dhamana kubwa kama hiyo.

Needless to say, VP au Waziri anayehubiri na kusimamia asichokiamini hawezi hata kuweka kiasi sahihi cha juhudi inayohitajika kufikia malengo yaliyotarajiwa. Kwa maneno mengine, yeye anageuka kuwa VP au waziri mzigo.

Mama Samia ameonesha udhaifu wa kiwango cha PhD na amekuwa mfano mbaya kabisa kwa mawaziri wake. Bila shaka, Rais anawaambia mawaziri na taifa zima kwamba unafiki katika Serikali unakubalika. Yumukini mfano wa unafiki aliouonesha ni silaha ambayo wateule wake hawatasita kuitumia dhidi yake. Inasikitisha, to say the least!
 
dr.magufuli aliwekeza kwa watanzania wanaonyonywa na mabeberu na mawakala wao kwa miaka mingi. mama naona anaanza kuwekeza kwa wanyonyaji na mawakala wao. hafai.
Hakuna mtanzania aliyeinuliwa na huyo magufuli. Kwa taarifa yako tu ni kwamba aliwapachika Jina la wanyonge ili mushindwe kuhoji! Hao wanyonge aliowatetea ni kunanani? Kawakuta kipato Chao kipoje? Kawaacha kikiwaje?
 
Back
Top Bottom