Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 781
- 2,305
Yatima hadeki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM will never be forgoten easily....Mkuu watu ni wajinga sana..hawajui wananchi wanahitaji nini na mama nae kafuata huo huo mkumbo..sio kwa zile hotuba zake yaan hata kuziskiliza ni kero..anataka turudi enzi za kina jk.kuchekeana chekeana.. hatutaki uswahili kwenye masuala ya kulipa kodi kwenye masuala ya rasilimali za nchi..
Time will tell..JPM will never be forgoten.
Acha hallucinations..hoja hujibiwa kwa hoja si vioja na maneno ya saluni..Nawaona Burundi Gang na Sukuma Gang kwenye ubora wenu😃😃😃😃
Tukieni tu, nchi imerudi kwa Watanzania. Ufedhuli wenu pelekeni Chato. Mtaanzisha sana thread Safari hii ila kwa kuwasaidia tu, nawashauri nafuteni kwa wingi juice ya ndimu na malimao muwe mnakunywa sana. Mama Samia ndo Rais wa JMT na anafanya vizuri sana
Samia yuko very real, je ni mara ngapi alitaka kujiuzulu?
Dah....hili liko wazi mbona...kuna watu Wanaangalia maslahi na VYAMA...na wengine maslahi ya NCHI....kirahisi tu....imeandikwa....Wamepanic
halafu CCm wamepaniki zaidi ya upinzani
Tulia ww usiyejuaAisee nyie wa mataga pori huyu Mama amewakosea nini ???
Cheki puuzi hili hata halijielewi lipo kama tutusaNina uhakika 100% mtoa mada ni TAGA lililopoteza muelekeo
Sasa linatangatanga kama evil spirt
Acha hallucinations..hoja hujibiwa kwa hoja si vioja na maneno ya saluni..
Unakumbuka kile chama cha RC Chalamila Ruling Party?Aisee nyie wa mataga pori huyu Mama amewakosea nini ???
Unataka tukusaidie kusoma au kuelewa au both?Kuna hoja gani za maana hapa mnaleta zaidi za stress zenu za kukosa ulaji??
Mkuu watu ni wajinga sana..hawajui wananchi wanahitaji nini na mama nae kafuata huo huo mkumbo..sio kwa zile hotuba zake yaan hata kuziskiliza ni kero..anataka turudi enzi za kina jk.kuchekeana chekeana.. hatutaki uswahili kwenye masuala ya kulipa kodi kwenye masuala ya rasilimali za nchi..
Time will tell..JPM will never be forgoten.