Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Vipi umehama toka Saccos ya Chadema umerudi CCM sasa mkuu? Karibu sana kwenye Chama Dume!!
japokuwa si mwanasiasa ila naona unajitahidi sana kuhamisha mada. ila nikwambie tu umefeli. njoo na trick nyingine
 
Mama amefeli hamna kitu hapo sifa nyingi ujuaji mwingi nchi itamshinda watanzania wanapenda mtu wa Kariba yake ili wafanye yao nchi itapigwa Kama kipindi Cha jk tutajuta kwakweli.
naona umeandika nothing but mipasho. oh mama amefeli, sifa nyingi,ujuaji mwingi.
Hizi hazikuwa sifa za JPM?

naona mmekuja kwa force kujaribu kumchafua. hata mwezi hana kwenye hiyo nafasi.

muache ramli za kiganga. tunajenga nchi moja.. si kikundi cha watu
 
So kwa akili yako miradi ya chato nayo ataendeleza? Hata daraja la busisi tunapiga chini kwanza
Lazima awe na priority,sasa kama miradi sijui airport ya chato sisi kama Taifa itatusaidia mini,lazima aangalie ipi ya manufaa na ipi haina manufaa,

Sukuma Gang acheni kuweweseka
 
dr.magufuli aliwekeza kwa watanzania wanaonyonywa na mabeberu na mawakala wao kwa miaka mingi. mama naona anaanza kuwekeza kwa wanyonyaji na mawakala wao. hafai.
 
Ukitaka kujua hamna kitu hapo umemsikia hata kidogo akizungumzia rushwa?huyo mama baadae hata nyinyi mtamgeuka sababu kubwa upeo wake ni mdogo sana kwenye maamuzi pili ni mtu wa kutaka kumfurahisha kila mtu Yani mama huruma tatu nchi hii inamadudu mengi hatuwez kufika kwa kuchekeana na kubembelezana hatuitaji maneno mengi tunahitaj kazi na manedeleo
 
Nimesoma heading tu, kwahio huenda nime-miss the point....

Don't Ask what the Country can Do for You, Ask yourself what you can do for your Country..., kui-paraphrase hio mimi nasema usiulize / tegemea individual akupeleke popote / unapotaka..., so long as atafuata sheria/ haki na utaratibu tuliojiwekea kama nchi inatosha.., hayo mengine tutafanya wenyewe kama tulivyokuwa na tunavyofanya tangu enzi na enzi....

Tofauti na yule aliyevunja misingi (kufuata / huheshimu misingi kwangu itakuwa ni bora kuliko what we had)
 
Naomba na mimi niandike kidogo ...nakiona kivuli cha JK kwenye utawala huu ..... sasa naanza kuelewa hofu ya akina Bashiru kama mitandaoni walivyosema ..... tunaenda kwenye hatari asipobadilika ( mbaya zaidi anaonekana ni mfuasi wa JK).
Mfufueni mungu wenu.
 
una roho mbaya sana kama mwendazake. na siku hizi wenye roho mbaya wanakufa tu. wasukuma bana!
 
Wamepanic

halafu CCm wamepaniki zaidi ya upinzani
 
Mama hatoshi tuneingizwa chaka hapa na wapigaji wanataka kurudisha enzi zao tumeumia.Baba tutakukumbuka Sana huku tunarudishwa utumwani R.I.P shujaa wa Africa
 
siku mtakapo elewa kwamba magu ameshakufa sasa ni utawala mwingine hamtapata taabu
 
Uzuri anaendeleza alichokiacha Mwendazake tunashukuru Mungu kwa hilo.
Toa upumbavu wako hapa. Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ni mcha Mungu. Kamwe hawezi kuendeleza wizi,ushetani,uchawi,mauaji na ubakwaji mkubwa wa demokrasia.
 
Unaruhusiwa kuota.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…