Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Hatari sana.
 

 
Kama shetani alituelewa kwa kumrudisha yule shetani aliyetangulia mbele ya haki, basi atatuelewa tu akirudishwa huyu mrithi wake anayeupiga mwingi
 
Atakemea vipi kama kwenye madokezo yupo
 
Keyboard warriors huu utafiti umeufanya wapi?Chapa kazi wacha kulalama.
 
Watanzania mnataka Raisi wa aina gani ? Malaika waje wawaongoze? JPM mlimsakama sana mkasema Bora Kikwete aludi sasa hivi kikwete cha moto ana kiona mnasema bora Maghufuli na Mama akimaliza muda wake mtamkumbuka hivyo hivyo , Mama samia hachana na hawa watu wa mitandao fanya unayoona ni sahii kwako na kwa Nchi
 
Reactions: Tui
Hatogombea
 
Bil 7 !!! Tumepigwa bila huruma wallah tena !
 
SHAKA NA MCHENGERWE NDIO WANAJUA MAANA HATA WASAIDIZI WAKE HAWAJUA KAMA MIMI (SAMAHANI ROYAL TOUR INAZINDULIWA LINI KATAVI
 
Mkuu Royal tourimezinduliwa jana mabadiliko kwa wananchi unataka uyaone leo? Hii nchi kweli ni ngumu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…