Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Unafiki wake nini, mbona hayati nae alikuwa hivo hivo wakati anamuambia JK asafir tu ili alete mahela, alivoingia unakumbuka akasemaje na akatendaje?

Mtateseka sana, nchi imechukuliwa na CDM kiulaini bila hata push up yani.
 
sijasoma yote nkamaliza, lakini nahisi hapa kuna harufu kali ya mataga wa lumumba wakiwa hoi kwa matamko machache tu ya bi mkubwa.
hizi sio zama za matambio, angalieni mwenzenu comrade kigwanga la ameshasoma upepo na anaenda na biti la uviko 21
 
Ni dhahiri huyu mama anautu na ubinaadamu ndiyo maana ya uongozi, Jua anaongoza watu sio mifugo, kama ataiga style ya JK na akaboresha alipokosea JK sioni kama kunashida yoyote.

Mwenye akili nzuri hawezi kuiga mengi ya aliyafanya huyu baba
 
Naona MATAGA mmefungua ID nyingi ili mumpinge mama.

Rais wenu Jiwe alishakufa

Hivi nani aliyekuwa na Ubavu wa kuzungumza au kumpinga jiwe? Yeye mwenyewe alishasema hapingiwi kwa hiyo unategemea wangefanyaje? zaidi ya kwenda na muziki wa jiwe huku wakiumia roho.
 

Kama kuna kitu hakikuwa sawa, lakini alishindwa kujitenga nacho, hana namna sahihi ya kukikana isipokuwa unafiki! Where’s collective responsibility?
 
Tukisema huyu Mama hajielewi wala haelewi hii nchi inataka nini kwa sasa,kuna watu wanakuja na hadithi za Sukuma Gang Mara MATAGA!!
Mkuu watu ni wajinga sana..hawajui wananchi wanahitaji nini na mama nae kafuata huo huo mkumbo..sio kwa zile hotuba zake yaan hata kuziskiliza ni kero..anataka turudi enzi za kina jk.kuchekeana chekeana.. hatutaki uswahili kwenye masuala ya kulipa kodi kwenye masuala ya rasilimali za nchi..
Time will tell..JPM will never be forgoten.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…