Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Uliyepoteza ni wewe usijumuishe Watanzania kwenye upumbavu wako.

Mungu amemaliza ugomvi.
Matola lazima utakua mtu wa Ngada! Unahaki ya kumchukia Magufuli, maana aliharibu njia kibao hata Mimi nilipoteza mchongo!lakini hilo halikunifanya nimchukie Magufuli, maana Mimi kweli kushiriki kwenye biashara hiyo hata kwa mbali bado natenda kosa la Jinai!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Rubbish.
 
Wewe tu na shida zako zisizoisha wenzio aka Samia miaka 100.Songa mbele mama achana na wanga wa mchana wamekosa hoja
 
Mzilankende, Ngosha, Jiwe, Chuma, Chapa Ng'ombe
Kwenye Utawala Wangu Mimi, Sitabembeleza Mtu
Ngojeni Atakayekuja Na Kuwabembeleza

Unampa Mtoto Yai, Ale Bado Analia
Unampa Uji Anywe, Anatupa Kikombe Chini Uji Unamwagika
Unajua Huyu Mtoto Ana Kiburi

Unamzaba Kofi Moja, Utaona Atakavyobugia Yai Haraka Haraka

Nasema Uongo Ndugu Zangu
Msema Kweli Ni Mpenzi Wa Mungu
 
Na analipwa mshahara mnono na anakula vinono na anasafiria vinono na analala panono nakuishi unono!,na anazidi kuwa mnono tu..[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Zile moments zilikuwa bora kuwahi kutokea nchi hii.
 
Yule alikuwa takataka na wewe 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220628-202202.png
    63.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220628-202311.png
    63.7 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…