Mbona povu?Wewe ni mnufaika wa hayati, kwa taarifa yako hawezi kufufuka. Tafuta fursa ya kiuchumi ujipange nayo. Wapumbavu mlizoeshwa Ripoti FAKE ya CAG wakati wa Magufuli sasa Rais Samia anapokea Ripoti ya ukweli inayoonyesha gaps kwenye Serikali yake.
Badala kwanza ya kupongeza hilo la kupokea ripoti mnasema eti ajiuzulu?
Kwani yeye kuwa Rais ndiyo maana yake kuwa ndiyo kasababisha huo ufisadi?
Acheni mfumo ufanye kazi kisheria
Ni uwongo. Nchi ina mfumo, wanaopaswa kuchukua hatua dhidi ya waliotuhumiwa ni accounting officers wa Taasisi husika. Siyo jukumu la Rais kusema huyu aondoke kama ambavyo Magufuli alikuwa anawafukuza akina Wilson Kabwe pale daraja la Kigamboni.Mbona povu?
Kwani kasema uongo?
Mteule wa awamu ile pendwa.Mtu anakuletea invoice kaziidishaa dola milioni 49 sawa na tshs bilioni 90 jua kakupima kakuona wa kawaida tu.
Hao so called accounting officer wanamkagua boss wao aliyetajwa na waziri wa fedha kule bungeni kama ni mhusika wa upigaji?Ni uwongo. Nchi ina mfumo, wanaopaswa kuchukua hatua dhidi ya waliotuhumiwa ni accounting officers wa Taasisi husika. Siyo jukumu la Rais kusema huyu aondoke kama ambavyo Magufuli alikuwa anawafukuza akina Wilson Kabwe pale daraja la Kigamboni.
Nchi ina mifumo ya utawala wa sheria, tuifuatae.
Wengine sijui mmezaliwa kwa kupita tundu gn?,hivi kutoa maoni ya samia ajiuzuri wewe ni sukuma gang?Dah, wafuasi wa mwendazake mna hatari[emoji23][emoji23]
Boss wao yupi katajwa bungeni?Hao so called accounting officer wanamkagua boss wao aliyetajwa na waziri wa fedha kule bungeni kama ni mhusika wa upigaji?
Humjui boss wa waziri wa fedha?Boss wao yupi katajwa bungeni?
Impersonation of nonsense... sasa mambo ya siasa yanahusiana vip na mimi kuzaliwa mkuu?Wengine sijui mmezaliwa kwa kupita tundu gn?,hivi kutoa maoni ya samia ajiuzuri wewe ni sukuma gang?
Ukiulizwa mgao wa sasa wa umeme unatokana na nini utajibu vipi?Hapo ndipo akili yako imefikia mwisho?
Moderator mbona unaunganisha Uzi huu.?? Hovyo Sana jf kwasasaMama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani...