Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Keyboard worriors
Unao uhuru kusema hivyo ila je toka uwe na akili timamu ni jambo lipi liliwahi kuwaleta Watanzania kulihoji bila kujali itikadi za vyama vyao kama hilo la BANDARI?!

Hilo ni zaidi ya uwazavyo na ndiyo maana limedumu kwa takribani wiki nzima bila kuchuja, jiulize?
 
Unao uhuru kusema hivyo ila je toka uwe na akili timamu ni jambo lipi liliwahi kuwaleta Watanzania kulihoji bila kujali itikadi za vyama vyao kama hilo la BANDARI?!
Kuhoji Kuna faida gn kama hujibiwi na mkataba ushapita hivyo. Unakuwa kama lofa vile unahoji lakini wanakuona pungazeze tuu mbwa wakubweka.
 
ripoti ya CAG ft kuuzwa kwa BANDARI lazima mnyooke

Watu wanataka wakasomeshe watoto wao uingereza huko wanaforce pesa ili watoto wao wasome waje kuwa wabunge, mawaziri Na maraisi waendelee kutuburuza
 
Ajabu ya watanzania ni kuombea na kusubiri majizi yapate ajali za kisiasa ilhali rasilimali zimeshapigwa mnada, najiuliza hiyo ajali ya kisiasa itarejesha rasilimali zilizofisadiwa na kunonesha mifuko ya watawala!? Ajabu ya Karne!!
 
Sina maneno mengi ndugu zangu hebu kula chuma iyo [emoji116][emoji116][emoji116]
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • b550ee98759bd0ff8ae0a6f4263ab181.mp4
    905.2 KB
Kwahiyo unasema Mama bado anakaimu Urais

Mbona nilimuona akiapishwa kuwa Rais

Mama aachwe atuvushe, Mataga rudini Vijijini mkarogane.
Akuvushe kwa kukuuza kwa wajomba zake?
 
Tunaomba mrejesho
 
Tunaelekea Dubai sasa,uko mtaoga na mtavaa nguo Mpya,mtakula na kushiba,au mnataka tuwauze tena Marekani??
 
Mbona kama naona nchi inaelekea pabaya? Hata hii mikataba uchwara wanayo taka kusaini hamuioni? Au hamna meno ya kuuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…