antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Siyo bandari moja, ni bandari ZOTE za Tanganyika. Na kuna waungaji mkono!SINTOFAHAMU kubwa iliyoletelezwa na MKATABA TATA WA BANDARI YETU YA TANGANYIKA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo bandari moja, ni bandari ZOTE za Tanganyika. Na kuna waungaji mkono!SINTOFAHAMU kubwa iliyoletelezwa na MKATABA TATA WA BANDARI YETU YA TANGANYIKA!
Unao uhuru kusema hivyo ila je toka uwe na akili timamu ni jambo lipi liliwahi kuwaleta Watanzania kulihoji bila kujali itikadi za vyama vyao kama hilo la BANDARI?!Keyboard worriors
Kuhoji Kuna faida gn kama hujibiwi na mkataba ushapita hivyo. Unakuwa kama lofa vile unahoji lakini wanakuona pungazeze tuu mbwa wakubweka.Unao uhuru kusema hivyo ila je toka uwe na akili timamu ni jambo lipi liliwahi kuwaleta Watanzania kulihoji bila kujali itikadi za vyama vyao kama hilo la BANDARI?!
Ajabu ya watanzania ni kuombea na kusubiri majizi yapate ajali za kisiasa ilhali rasilimali zimeshapigwa mnada, najiuliza hiyo ajali ya kisiasa itarejesha rasilimali zilizofisadiwa na kunonesha mifuko ya watawala!? Ajabu ya Karne!!Ni ajabu kuendelea kuona bunge na taasisi mbalimbali za serikali zikiendelea na shughuli za kila siku ilhali taifa limekubwa na sintofahamu kubwa iliyoletelezwa na mkataba tata wa bandari yetu ya Tanganyika.
Vilevile ni ajabu kuendelea kumshuhudia rais samia akiendelea kuziba masikio pamoja na lawama lukuki anazoshtumiwa kwazo kwa yeye kuruhusu makubaliano ya mkataba ule tata yaendelee.
Ukweli ni kwamba taifa linashuhudia mtanzuko wa ajabu kuanzia kijijini hadi mijini kulihusu jambo lile.
Samia jitokeze ulisemee hilo na ikiwezekana sitisha jambo hilo kwa maslahi mapana ya nchi.
Tofauti na hapo jambo hilo halitokuacha salama ki siasa.
Unaonaje nchi ilivyo sasaHamkutegemea kuwa nchi itatoka mikononi mwa wahuni mapema hivi.
Rudiini mapangoni mlikokuwa muache kutupigia makelele.
Ikiwemo kuuza nchi, sawaMATAGA mnaona haya.Mwacheni Mama afanye anavyoona, mbona hayati mlimuacha afanye alitakalo.
Akuvushe kwa kukuuza kwa wajomba zake?Kwahiyo unasema Mama bado anakaimu Urais
Mbona nilimuona akiapishwa kuwa Rais
Mama aachwe atuvushe, Mataga rudini Vijijini mkarogane.
Tulichelewa sana kuuzwayeye ndio Rais na Amiri jeshi mkuu, ameshaamua sasa na kazi inaendelea asietaka akaumeze wembe
mama samia ni Chaguo la Mungu tulichelewa sana[emoji120][emoji120]
View attachment 1745230
Umejaza mavi kichwaniTunamshukuru mungu wa mbinguni kwa kutuletea mama.Mpenda haki, mzalendo, mcha mungu na mwadilifu.Huyu angalau ni mtetezi wa kweli wa wanyonge
Tunaomba mrejeshoHuyo ndiye Rais wa nchi hiyo cheap popularity inaingiaje?
Mkitaka msitake yeye ndiyo kiongozi mkuu wa nchi na ndiye aliyeachiwa hatamu ya uongozi, mbona aliyepita kuna miradi aliiwacha hivyo hivyo?
Tuwe na subira, kwani yeye hajatoka upinzani ni kiongozi wa CCM ileile na ilani ileile kinachotofautiana ni utendaji tu. Ukizingua unazinguliwa.
Subiri utawala wake ukimalizika.Tunaomba mrejesho
Usipomuelewa wewe sisi tunamuelewaKiukweli, sijawahi muelewa huyu raisi wetu wa sasa