Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

For his cruel heart n actions, he will never be forgotten
 
Ashasahaulika.

Ila ambao hawatamsahau ni wale aliowaumiza na maamuzi na ubabe wake, wale wa vyeti feki, tumbuatumbua, wa Kimara.....nk...hawatamsahau Kaa mabaya yake....haya huwa hayasahauliki.....ila mazuri husahaulika mapema sana.
Ni mmoja wa vyeti feki au? Hao waache wafie mbali bhana! Vyeti feki! NO! Hata kama tumempata rais mwenye vyeti vya aina hiyo, NO!
 
Tukisema huyu Mama hajielewi wala haelewi hii nchi inataka nini kwa sasa,kuna watu wanakuja na hadithi za Sukuma Gang Mara MATAGA!!
Jitambulishe basi upande wako! Wewe ni nani basi? Mtanzania na mpenda mabadiliko ya kweli kama mimi?

Tuungane pamoja basi kuipigania Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi! Badala ya kumlaumu mama wa watu, kisa tu ameamua kuondoa/ kupunguza baadhi ya madudu ya awamu ya tano.
 
Sukuma GANG/ Wajane, mna roho mbaya sana. roho zinawauma mama kukataa kuendeleza Dhambi za kuua na kutesa wasio na hatia.
Mmejipanga kumpoteza mama.
Ila hamtafanikiwa.
Tunaoipenda hii nchi tutamshauri tu afuate katiba basi.
 
Huwa siwapendi viongozi wa nchi kwa mtindo wanavyopatikana. Hata huyu namuona ni feki tu, lakini ukiniambia CDM, natapika. Kwa nini CDM imeshindwa kuwa na viongozi wa maana? Wote vyeti feki na ufahamu feki! Sasa wooote wanamsifu Samia ili awaone wanafaa. Ni ajira tu inawasumbua.
 
Mama yupo vizuri Sana, tatizo nyinyi wanafiki, mnaopenda viongozi wanaowagawa wa Tanzania. Pia Wewe mnafiki namba moja. Dai katiba Mpya inayopunguza madaraka ya Rais.Rais akipewa madaraka anapewa kila kitu. Hata wasaidizi wasiporizika anachofanya Mkuu wao hawana jinsi.
 
Tukisema huyu Mama hajielewi wala haelewi hii nchi inataka nini kwa sasa,kuna watu wanakuja na hadithi za Sukuma Gang Mara MATAGA!!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Sisi wengine tumekaa pembeni kuchungulia kwa chati...sijui Yale makontena yasiyolipia Kodi yatanza kupita Tena lini barabara...Sisi tunawahitaji zaidi wafanyabiashara kuliko wanavyotuhitaji Sasa....nickel ianze kuchimbwa haraka jamani...
 
Hivi MATAGA bado mnaamini Jiwe alikuwa right kwenye maamuzi yake mengi?Kulikuwa na mtu aliyekuwa na uwezo wa kumsahihisha Jiwe?Mama ameamua ''KUJISAHIHISHA'' kama kitabu cha Mwalimu J.K Nyerere kinavyoolekeza!
 
Ni mmoja wa vyeti feki au? Hao waache wafie mbali bhana! Vyeti feki! NO! Hata kama tumempata rais mwenye vyeti vya aina hiyo, NO!
marehem pia alikua na vyeti feki na alipo ulizwa akampoteza Ben. pole saambaya
 
Mbona Hayati hamkuuliza anatupeleka Wapi Acheni Unafiki wenu
 
Wafuasi wa Jiwe hamuamini macho yenu. Jiwe halinyanyuki tena . Muosha huoshwa . Wakati Jiwe linasema nchi inaibiwa kupitia mikataba mibovu. Kwani hakuemo kwenye baraza la Mkapa (rip) na baraza la Kikwete ?!. So kilichosababisha Maghufuli kukaa kimya kwa waliomtangulia ndicho kilichosababisha Rais Samia kukaa kimya kwa Maghufuli.

Odhis *
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…