Mkuu, hivi unajua madhara ya kupingana ama kwenda kinyume na kiongozi wa kiimla? Hivi unakumbuka CAG Assad kilimtokea nini pale alipoamua kusimamia ukweli na weledi ktk majukumu yake? Hivi unatambua nini kilichowatokea wapinzani hasa CDM pale walipojaribu kuonyesha mapungufu na udhaifu wa serikali ya awamu ya 5?
Ukiona wimbi la wasaidizi wa Rais aliyetangulia wakijitokeza hadharani na kupingana na mitazamo yake, basi utambue kuwa kuna sehemu mambo hayakuwa sawa. Isipokuwa walilazimika kufanya hivyo ili kulinda ajira zao na hatima zao za baadaye za kisiasa.