Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kweli wewe ni chadema haswaa

Tupe hiyo statistics ya %95 kama wewe ni kidume kweli!
 
We si ulisema umerudi CCM Mkuu?
 
We chawa huna hela ya kununua Sukari.

Sasa unashinda humu kupiga kelele badala ufanye kazi
 
Hata chadema watampigia kura
 
Uchawa tu huo unakusumbua, utasubirije 2025 kupata uhakika wakati tayari Samia na CCM yenu mnaogopa kuwa na tume huru ya uchaguzi na katiba mpya?
 
Hahahaaa Pascal Mayalla una PHD ya heshima kwa uandishi wako wa kun'gata huku unapuliza, diffensive attack,isnt it?
 
Mkuu Lucas mwashambwa, kuna kibarua kimepatikana huku
 
Chadema hakuna vilaza.......Iombe Samahani Taasisi Makini.

Mtu wa kanda ya ziwa ashughulike na chadema kweli😃 wa pwani ashughulike na chadema kweli! Wa magharibi na kanda ya kati washughulike na chadema kweli! Mtaambulia vikura vya huko huko ukanda wenu, tena sio wote.
 
Mkuu Lucas mwashambwa, kuna kibarua kimepatikana huku
Achana naye huyo anajiropokea tu.wakati huku mitaani mamilioni ya watanzania wanasubiri uchaguzi ufike ili wampe kura za ndio kwa kishindo kama shukurani kwa kazi kubwa aliyowafanyia. Watu wanampenda Rais Samia Mpaka wanabubujikwa na machozi machoni utafikiri wamepakwa pilipili machoni wakisikia anatoa hotuba yake
 
Machawa tu na mafisadi ndo wanampenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…