Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Kwani katiba ya JMT haiutambui urais wake?!!Kwani alishawahi kuchaguliwa?
Hajawahi kuchaguliwa hata kuwa kiranja wa shule ya msingi kizimkazi, aliwahi kuomba Uwakilishi akaangukia pua.Kwani alishawahi kuchaguliwa?
Mada inafikirisha acha kuinajisi.R.i.P John...πͺ
huyo mama ana wapambe wenye njaa balaa! atauza kila kitu1. Anavuruga protojali ya kiserikali kwa kumfanya rais wa Zanzibar kuwa mkubwa kuliko makamu wa rais. Hili ni kosa la kikatiba.
2. Anauza rasilimali za Tanganyika hovyo hovyo huku zile za Zanzibar akiziheshimu kama mboni ya jicho lake.
3. Watu wanatekwa na kuuawa lkn hatoi tamko la kiserikali la kukemea ama kupiga marufuku. Hii Ina tafsiriwa kuwa hana uchungu na watanganyika .
4. Teuzi nyingi Sana hivi Sasa zinawaangukia wazanzibari.
Kwa haya na mengine mengi, Samia sasa yatosha. Ataitumbukiza nchi kwenye migogoro.
Yes baby girl that's ma name!
Wengi walihitaji Nini mkuu?Sio kwamba hakuna cha maana wala cha mantiki alichofanya ila amekosa kile kilichohitajika na wengi.
Ndo kitu gani hicho?Magoli,... au basi dogo ndo kwanza yupo la kwanza
Nilitaka hata nimtukane kwa vile hajafanya kitu lakini wewe umeniambia TUKANA UONE πWakuu yawezekana Mimi nikawa sioni ambacho Mh Rais Samia Suluhu Hassan anafanya au kwakuwa Niko bize sana na shughuli zangu,lakini hata kipindi Cha Rais Magufuli nilikuwa bize lakini niliona alichokuwa akifanya!
Yawezekana uenda nikawa tu na negativity Kwa Rais wetu mpendwa,hebu naomba mtu mwenye akili timamu na anayefatilia mambo anielekeze Kwa upole na Upendo ambacho amekifanya Rais Samia na kimekuwa na Impact kubwa Kwa Watanzania Kwa muda mfupi Ili nibadili mtazamo wangu
Karibuni
Mkuu usitukane πNilitaka hata nimtukane kwa vile hajafanya kitu lakini wewe umeniambia TUKANA UONE π