Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mama bwana anawaacha sana watendaji wake hewani.Unapompa mtendaji jukumu ni lazima kuwe na specifics and time line.Unapaswa pia kusema kama hakutimiza consequences ni nini kufuatana na sheria.Maneno "kaangalieni kama inawezekana," ni too vague.She is in short too general and soft,kitu ambacho hakifai kwa mtendaji mkuu.
 
Mama Samia ndiye Rais. Yaliyopita yamepita. Tugange yajayo.
Mwenyezi Mungu mtukufu ndiye yeye aliye mkuu. Mapenzi yake yatimizwe siku zote
 
Nadhani Mada yako ni ishara ya chuki binafsi dhiti ya mama yetu.... Na tambua maneno yako ni matunda ya Uhuru uliopewa na Mama yetu rais Samia
 
ALIKUWA MATAGA NO. 1 KWA JPM; alifanya kila kitu chini ya JPM....hata vile ambavyo hakukubaliana navyo!!! akaamua kuwa mnafiki ili apate mkate wake maisha yaendelee

JPM wa sasa wamebadilika ni wananchi wa TANZANIA aambao anawatumikia

JE ANAWATUMIKIA KWA UNAFIKI ULE ULE WA ALIVYOFANYA KWA JPM? au anatoa moyoni anachofanya?

kama usanii wake ulikuwa wa kiwango kile, hawezi kuaminika kwa sasa hivi pia

kaharibu
 

mataga wa zamani sio?

wewe, lema, lissu ndio mataga wapya? au?
 
kunasehemu nilisoma kuwa kuna ukanda haustahili kupewa urais...naomba huu mwiko uanze kufuatwa tutakuja pata shida huko mbeleni.....

sahizi watu wanaona kama hii nchi ya kwao, full ukabila.... mwingine anaanzisha uzi eti wao ndio wanakura turufu tena, anatishia eti mbona south africa wazulu wanamfalme wao......

ikiwezekana tutaacha hata kupeleka maendeleo huko mmepata ya kutosha tayari.
 
ALIKUWA MNAFIKI NA MATAGA NO. 1
You are now pressed between a rock and hard surface.
Ulimtetea jpm kinafiki
Sasa unaogopa kumtetea Samia sababu yuko against sera za jpm though sera za jpm hukuzipenda kutoka moyoni
Wewe ulikuwa unapambana na cdm kwa kuendorse madudu ya jpm
You know we know mama ni wa ile imani yako but unajua we are watching...
You are caught up
 
Kuna baadhi ya kauli zake, niliwaona mawaziri kama wamepigwa shock hawaamini masikio yao. Siasa most of the time si hasa.
 
Tz taasisi zetu zinazidi kuwa dhaifu kwa ajili hakuta utaratibu wa kuwajibishana...

Ndo maana hata waziri, ama kiongozi hawez kujiwajibisha kama hakuna wa kumuwajibisha....

Kwa hiyo ktk mazingira kama haya hata mkitofautiana mtazamo na senior wako... unakausha tu adi umalize muda wako coz mazingira nje na hapo ni magumu sana.
 
Pole sana Mkuu vumilia ni kawaida ya Penicillin injection ilivyo inauma balaa. Mama ameonesha njia sasa tutakwenda kwa speed ya kutosha huku tukitabasamu.
 
sijasoma yote nkamaliza, lakini nahisi hapa kuna harufu kali ya mataga wa lumumba wakiwa hoi kwa matamko machache tu ya bi mkubwa.
hizi sio zama za matambio, angalieni mwenzenu comrade kigwanga la ameshasoma upepo na anaenda na biti la uviko 21
Hii Inaitwa ROBA YA MBAO, kila ulichokimeza utakitema[emoji1][emoji116]

 
Huyu Chidi ndio yule niliyemsikia mjengoni akitowa sifa kebekebe akisema Samia ni konki fire akim-quote mtanzania Pierre au ni mwingine?
Kama ni huyo basi ni kinyonga aisee. Nilijua yupo upande wa Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…