Akili za Kuku hizi! Eti toka achaguliwe! Ulimchagua Wewe!?Inasikitisha sana! Toka achaguliwe hajafanya ziara hata moja kwenye miradi mikubwa ya kimkakati
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sasa hao ndio wakina kakoko ambao jiwe aliwaleaMagufuli hakuwahi kushindwa! Nchi ilionekana inaelekea wapi sasa hivi kila samaki kambale. Na kujitia mwema mbele ya majizi... fikiria mtu anajulikana anamshahara wa 7m ame declare kwenye tume ya maadili hana biashara but kwenye account ana 2.3 B unamuuliza hizi umetoa wapi hana majibu uki freeze account unaonekana katili kweli?
Unateseka ukiwa Chato au Burundi?Huo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi, dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu. Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
Ana nia njema na Tanzania but the woman is not realistic.
Ndani ya mwaka atakuja gundua agenda zake sio realistic na kuisogeza Tanzania na nchi za Africa kwa ujumla its a hands-on job hizi sio nchi za laissez or democratic leadership.
Worst anatoa pressure serikalini investment za kimkakati zikamilike bila hata ya kujua impasse zipo wapi kwenye negotiations, watu watakuja kuingia mikataba ya ovyo huko kwenye Oil and Gas kisa hizo pressure zake.
Mabeberu hawana haraka wana source luluki za hizo resources, huyo Norway mwenyewe ndio supplier mkubwa wa Gas Europe na wanavumilia mpaka serikali ilegee iingie mkataba wa ovyo wa muda mrefu, yeye kutwa amekadhana plant ya LNG ijengwe not sure ata kama anaelewa elements za negotiation zenyewe.
90% of her speech was pure fantasy, huo ndio ukweli in hayati’s voice; the woman is not realistic.
Pore sana, mie sierewi ira wewe nafikili uerewi zaidi.😆Hahahaa rabda nikwambie tu kama uelewi tuanze na hao wabeberu mnaowabudu kuwa ni wana democrasia kwa kina Angela Merkel, Magreth Thatcher,
Engaland wanawake wameruhusiwa kupiga kura ktk uchaguzi mwaka 1920
Germany wanawake wameruhusiwa kupiga kura ktk uchaguzi mwaka 1918
Hii inatuambia nini toka nchi za England na Ujerumani ziwepo Duniani mwanamke alikuwa hashiriki ktk maamuzi yeyote ya kuchagua au kuchaguliwa kama kiongozi au siasa sasa imewachukua miaka mingapi kuanza kuwaamini wakina mama ktk maswala ya uongozi jibu unalo ww.
Ellen Johnson Sirleaf huyu nenda kasome alivyokuwa Rais ufisadi na wizi ulukuwaje hv tunavyoongea mwanae anakesi wa Ufisadi na wizi wa zaidi ya dola milion 100
Wanawake ni walezi wazuri ni mama zetu lakini si wasimamizi wazuri ni waangaikaji na watafutaji lakini kwenye swala la usimamizi hawapo vzr ulishajiuliza why kwenye familia akifa baba ni vyepesi kwa familia kusambaratika? Tofauti na akianza kufa mama? Wanawake si wasimamizi ila ni watafutaji na waangaikaji ktk kutafuta pia si mafisadi ila hawawezi kusimamia usifanyike ufisadi ilo ndo tatizo langu kwao
Rejea ile habari ya upotevu wa 1.5trillion ndo utajua majizi yalikua wapiKwa walio kaa mashambani au sehemu wanapopatikana wanyama ambapo sayansi inasema tunashare 98.8% DNA nao ambao ni Nyani,Sokwe etc watakubaliana na mm Nyani akiona wanawake hawaogopi hata kidg hata wawe kundi lakini ndani ya kundi la hao wanawake akiwemo hata mvulana wanaogopa
Najiuliza kama nyani anajua udhaifu wa wakinamama itakuwa mihuni ,mijizi,mifisadi ya Tanzania na policy za mama wa upole na kutii sheria bila shuruti???
Najua wanawake si wezi wala mafisadi kwani ni fedhea sana kwa mwanamke kuonekana mwizi ni bora mwanamke aonekane kahaba kuliko mwizi sasa kama ww sio mwizi je unaweza kupambana na mbinu za wezi ikiwa hiki kitu ni kigeni kwako?
Hivi ulihudhuria mazishi Chato?Huo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi, dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu. Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
Ngoja tusingizie bila ya ushahidi Magufuli ndani ya miaka 5 kajilimbikizia labda tsh 200 billions that’s a drop of water in the ocean kwenye budget ya Tanzania.Habari ya Chato au Bujumbura?
Kazi zipo nyingi, kaendeshe bodaboda, u SNITCH siyo kazi, kudhulumu watu jasho, haki na hela zao.Hahaha jichanganye uone.
Wakati wa JPM mama alikuwa msaidizi wake. Na vyama vina tabia ya kuteua makamu wasio na uwezo ili kujaza matakwa ya tume ya uchaguzi.Mbona hata magufuli hakua na huo uwezo zaidi ya kuharibu uchumi? Fanyeni kazi vijana majungu hayafai
Akili za kuku hizi
Kazi ya Rais ni kusuluhisha ugomvi wa idara?
Huo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi, dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu. Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la
KawezaHuo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi, dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu. Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
Huo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi, dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu. Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la
Acha ufitini, kama jiwe aliweza kuongoza nchi hii, Mama Samia ataiongoza vyema zaidi, kazi iendelee na ikimpendeza atawale mpaka achoke.Huo ni ukweli ulio bayana.
Ukiangalia na kusikia ya hapa na pale ndani ya muda ambao Rais Samia amechukua madaraka hakika magomvi, dharau na kutuhumiana waziwazi kwenye kada mbalimbali kumetamalaki.
Mfano ni katika Idara mbalimbali za Serikali Viongozi wengi kwa muda mfupi baada ya kifo cha Magufuli waziwazi ama wanatishana kuuana kwa sababu ya maslahi ama wanadharauliana na kuchongeana ili tu mmoja wao aonekane bora dhidi ya mwingine.
Kinachosikitisha hayupo yeyote anayewakemea ama kuwaadhibu. Mamlaka za wagomvi wale zipo kimya jambo ambalo katika Utawala uliopita kamwe wajinga wale wasingevumiliwa.
Kwa muktadha huo naliona mapema sana anguko la Samia.
ramli chonanishi hiyo yaani mama aanze kazi ya kuja kuwagombelezea kwenye viidara vyenu huko chini ? ana kazi muhimu za taifa za kufanya
Inasikitisha sana! Toka achaguliwe hajafanya ziara hata moja kwenye miradi mikubwa ya kimkakati
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ni kweli mama Ana uwezo mdogo lakini kama wasaidizi wake wakiwa wazuri Basi hamna shida.
Siku zote wanawake huwa Wana uwezo mdogo ndo maana 99.999% ya manabii Ni wanaume...walioacha legacy Wengi Ni wanaume