Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

mwendazake alikuwa mtu wa chuki, visasi, mpenda sifa za kjinga. kafanya uharibifu mkubwa wa mfumo hata inayogusa maisha ya watu mojakwamoja ona alivyoivuruga mifuko ya jamii na baadae kuficha uovu wake kujifanya anaiunganisha na kumbe kaiacha pssf iko hoi. wkati wa mama sasa achen mama afanye yke
 
Huo uhuru wa kuandika hivi, ni kwa ajili ya Yeye! Mwezi uliopita tu usingethubutu kuandika haya!

Muacheni mama mama a fanya anavyoona inafaa misilazimishe WAFANANE!

Mbona awamu ya tano iliwasimanga awamu ya nne na walivumilia?

Unamlinganishaje SSH (ambaye hana ilani tofauti na ya JPM) na wengine waliokuwa na ilani zao tofauti?
 
Ikibidi tule hata majani miradi kama stigle,na Sgr lazima vikamilike maana ndio moyo wa maendeleo.

Kama huoni umuhimu wa hiyo miradi then check your self.
Sidhani kama unajua unachokiongelea, anyway common sense is not common to all.
 
Moyo wangu umekata tamaa gafla kwa uongozi wa huyu Mama. Nauona uongozi wa Kikwete ukirejea kwa kasi. Kiza mbele asipobalika.
 
Mimi nasema tatizo letu kubwa tulilo nalo wafrika ni Njaa/Shida wakati wa utawala wa Donald Trump tumeona watu wengi tu wakikaa pembeni kwa hiari zao baada ya kutofautiana Itikadi na Boss wao yani Trump na mfano ni John Bolton aliyekuwa National Security Adviser ila pia kuna James Mattis Secretary of defence, Sio hao tu ni wengi tu ila huku Bongo unakutana na Takataka kama Kigwagwala ziko tayari kufanya ujinga wowote ili zibaki na vyeo vyao. Kwa mbali namshangaa mama pia ambae alikuwa Mshauri mkuu wa mzee wetu leo mzee katutoka kila cha mzee hakifai, Pumzika kwa Amani Magufuli hakika Umeacha alama ambazo kama taifa haina muda utakumbukwa, Ni kawaida ya mwanadamu kupenda Kipya ila after sometime hukichoka pia
Hii tutaiona mapema na ndio gap ishaanza kuonekana,, kila binadama ana mapungufubyake but mwendazake ana mengi mazuri na kama kiongozi aliifanya awezalo kujenga nchi yake na watu wake

Hii miradi sijui
 
Mambo n fire ..hivi jiwe amefanya nn la maana mkuu mirad mingi amemalizia ya mtangulizi wake

Kama jk alikuwa wa hovyo bas na Magu naye n wa hovyo sababu Kama angeona mambo n hovyo angejiuzulu amekaa kipind chote cha jk Kama Senior minister kwa hyo na yeye n mnafiki tuu

Tumpe mama muda kuongoza nchi s mchezo baada ya mwaka mmoja tutajua muelekeo wa nchi na s Sasa kukosoa

MATAGA mlijiona mmemaliza Sana na mlijua mtapata mrithi wenu SUKUMA GANG mtarud kwa miguu safari hii
 
makosa ya mtangulizi wa huyu mama ni makubwa mno kias kwamba ukombozi uliotakiwa ni kila mtanzania angepata anakuwa afadhari. hata uipende nchi yako vipi kama hujari kuhusu haki na ustawi wa unaoongoza vyote ni ubatili mtupu! ni vyema tuwe tunavaa viatu vya tunaowasema kuongoza kinafiki na mtangulizi, tusijifanye mtu yule hatumjui yeye binafs alikuwa na kichaa cha aina gani. si tu kulinda kazi bali mfikirie na kuulinda uhai binafs! na tusisahau kujiudhuru ni njia mojawapo tu, kuna na kukaa na adui karib ili utafute upenyo dhid yake. uhai ndo asset pekee isiyotolewa mara 2.
 
Mkuu watu ni wajinga sana..hawajui wananchi wanahitaji nini na mama nae kafuata huo huo mkumbo..sio kwa zile hotuba zake yaan hata kuziskiliza ni kero..anataka turudi enzi za kina jk.kuchekeana chekeana.. hatutaki uswahili kwenye masuala ya kulipa kodi kwenye masuala ya rasilimali za nchi..
Time will tell..JPM will never be forgoten.
Mataga kwishney.
 
Acha ujjnga aako wewe taga!!
Huyu alikuwa ni VP wa Jiwe,JPM,Mwamba, Dikteta and whatever you may call the late!
Unaposema huyu mama hajielewi means hata mtangulizi wake WOTE HAWAJIELWI na kwa lugha rahisi ni kwamba CCM HAIJIELEWI WATZ WANATAKA NINI??
Marehemu Magufuli kwa miaka 5 amewaburuza Watanzania bila kujua wanataka nini....!!!
Nashangaa sana mataga leo mnapoanza kumlaumu mama aliyekuwa msaidizi wa CCM YA MAGUFULI na TANZANIA YA MAGUFULI...!!!
Shame on you CCM members and all Matagas. This time around CCM mtaisoma namba!! GOD ALWAYS DO THINGS IN A VERY PECULIAR AND UNDEFINED WAY NOT UNDERSTANDABLE TO MANKIND!!!
Yale ya KANU ya Kenya yanakwenda kutokea Tanzania. Watch 2025, time gonna tell!


Tatizo lako wewe umeweka uvyama mbele kuliko Taifa,so ni vigumu sana kujadiliana na mtu dizaini yako!!
 
Je wajua kuwa alitaka kujitoa akakataliwa? Kama hulijui hilo basi na wewe ni nyonge kama wanyonge wengine, ila kama unalijua hilo lakini bado ukaamua kuandika huu ujinga basi wewe ni taga kama Mataga wengine
 
Ungekuwa wewe ndio VP au PM unatofautiana na Rais ungejiuzulu?,acheni kuwaforce watu kwenye vitu ambavyo hata mngekuwa ninyi msingeweza kuvifanya.Kuandika na kuongea ni rahisi mno kuliko vitendo
 
Back
Top Bottom