Acha ujjnga aako wewe taga!!
Huyu alikuwa ni VP wa Jiwe,JPM,Mwamba, Dikteta and whatever you may call the late!
Unaposema huyu mama hajielewi means hata mtangulizi wake WOTE HAWAJIELWI na kwa lugha rahisi ni kwamba CCM HAIJIELEWI WATZ WANATAKA NINI??
Marehemu Magufuli kwa miaka 5 amewaburuza Watanzania bila kujua wanataka nini....!!!
Nashangaa sana mataga leo mnapoanza kumlaumu mama aliyekuwa msaidizi wa CCM YA MAGUFULI na TANZANIA YA MAGUFULI...!!!
Shame on you CCM members and all Matagas. This time around CCM mtaisoma namba!! GOD ALWAYS DO THINGS IN A VERY PECULIAR AND UNDEFINED WAY NOT UNDERSTANDABLE TO MANKIND!!!
Yale ya KANU ya Kenya yanakwenda kutokea Tanzania. Watch 2025, time gonna tell!