Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mirija ya kujipendekeza inekatwa mtu pori.Cheki puuzi hili hata halijielewi lipo kama tutusa
Kwani hakuwa waziri kwenye serikali na kwa mjibu wa katiba na Sheri alikuwa ni mjumbe wa baraza la mawaziri.Alikuwa makamu P?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndio umeleta mpya katika baivcha woteUnafiki wake nini, mbona hayati nae alikuwa hivo hivo wakati anamuambia JK asafir tu ili alete mahela, alivoingia unakumbuka akasemaje na akatendaje?
Mtateseka sana, nchi imechukuliwa na CDM kiulaini bila hata push up yani.
Tatizo lililokuwepo hapo nyuma kutokuwepo kwa TEAM WORK badala yake ilitumika TASK FORCE.Tukisema huyu Mama hajielewi wala haelewi hii nchi inataka nini kwa sasa,kuna watu wanakuja na hadithi za Sukuma Gang Mara MATAGA!!
Hii ni kweli kwa sasa wataumia hasa na kujipendekeza kwao.Mirija ya kujipendekeza inekatwa mtu pori.
Unafiki utakuua taga.Ukweli wa Mambo hatuna kiongozi ni matatizo matupu tutajuta ,sababu tunarudishwa enzi za ubwana na utwana .mama upeo wake ni mdogo sana na ujasiri Hana hata kidogo.
Mkuu vipi umefufuka?Nawaona Burundi Gang na Sukuma Gang kwenye ubora wenu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Tukieni tu, nchi imerudi kwa Watanzania. Ufedhuli wenu pelekeni Chato. Mtaanzisha sana thread Safari hii ila kwa kuwasaidia tu, nawashauri nafuteni kwa wingi juice ya ndimu na malimao muwe mnakunywa sana. Mama Samia ndo Rais wa JMT na anafanya vizuri sana
Ni Askofu ChidiKuna kundi kutoka SUKUMA & CO .LTD na wamepewa kazi maalum ya kupinga na kukosoa kila hatua ya Rais mama samia kwa sababu tu mipango yao ime kwama baada ya waliye mtarajia awe mpendwa wao wa kudumu kutwaliwa na ndio hao mnao ona wana haha huku mitandaoni kutukana na kukejeli kila hatua ya Mh. Samia suluhu na kinara wao mpanga mikakati anafuatiliwa bila yeye kujijua.
Kwaiyo atakujaza pesa mifukoni?Wananchi twataka Uhuru wa Habari na Vyombo vya Habari.
Wananchi twataka hela mifukoni
Mama siyo tu rais was kurithi. Alikuwa running mate....hii ina uzito mkubwa. Kama JPM alikuwa dereva mama alikuwa ndiye co-driver.Tofauti ni kubwa. Mama ana urais wa kurithi; hajanadi ilani mpya kwa wapigakura!
Kama vipi rudini kwenu Burundi.Tofauti ni kubwa. Mama ana urais wa kurithi; hajanadi ilani mpya kwa wapigakura!
Mama kanyagia hapo hapo wapenda haki tunakuunga mkono, hawa wahutu wasikutisheMliua upinzani mkajua mmemaliza ...
Sasa humo humo ccm kumetokea mpasuko mkubwa sana ,mnamanguana wenyewe kwa wenyewe ...
Mama samia hakubakiana kabisa na li chama la mafisadi ccm na ndio kashikilia upanga sasa...
Lazima mchanganyikiwe ...
Mama samia kaza hapo hapo ...
Sisi watanzania wazalendo tuko pamoja ,..
Achana na hao wafia chama ,...
Hilo li chama hata likifa kama watanzania wanaishi maisha mazuri basi hakuna tatizo kabisa ....
Jibu swali kama umeshinda sina haja ya ku urgeKwani hakuwa waziri kwenye serikali na kwa mjibu wa katiba na Sheri alikuwa ni mjumbe wa baraza la mawaziri.
Collective responsibility[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama kuna kitu hakikuwa sawa, lakini alishindwa kujitenga nacho, hana namna sahihi ya kukikana isipokuwa unafiki! Where’s collective responsibility?